hippocratessocrates
JF-Expert Member
- Jul 1, 2012
- 3,598
- 1,539
takwimu za uongo!!!!!!!!!!!pengine u daktari,lakin huo ni uongo mtupu,we have more specialista than what u mentioned,b kin!!!!!!hata wahuni cku hiz ni maspecialist.
yes, ni daktari..na ni takwimu za W/Afya 2011... tunaongelea SPECIALISTS hapa na sio GP(General Practioner)/MD yaani daktari wa kawaida...ukibisha kesho nenda Wizara ya Afya ulizia/tafuta mwenyewe.