Xidian
JF-Expert Member
- Jun 2, 2012
- 503
- 149
je umesoma habari vizuri? hao uliowataja je ni madaktari wa kawaida..physician au wa upasuaji..surgeon
tafakari....
tafakari....
daktari huyo anaitwa nani?
ni kweli kuwa yuko peke yake mwenye ujuzi huo?
vipi kina dr Swai, fataki,Massawe,Namala nk hawana huo ujuzi?