Ndo mana wakubwa na wenye fedha zao hutibiwa mbali! Ni aibu na fedheha! Hebu sikia hii: Wewe ni mwanaume. Jirani yako ni daktari mwanaume. Mkeo anapata tatizo la 'K' na kupelekwa kwa huyo dk. na anaifanyia upembuzi yakinifu 'K' ya mkeo. Baadae kila unapoonana na huyo jirani dk. anakuuliza, "Vipi K. ya mkeo inaendeleaje?" Grrrrrrrrhhhhh!!***:.