Az 89
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 1,658
- 691
angekuwa mkeo au dadako ndo amepata fistula ungeongea haya unayoongea? au labda wewe ulipokuwa unazaliwa, maza ako ndo angepata fistula, ndo ungeishi na kukua ukiwa unaijua fistula ilivyo, na maneno haya yasingethubutu kutoka mdomoni mwako. hujui ulitendalo. hata kama watakuwa walipokea kofia na vitenge, au hata kama wangefanya chochote kila, our women don't deserve this kabisa. they really do not have to be treated that way. by the way, kuwa ccm au cdm ni uamuzi tu wa mtu, na hatupo vitani hapa, sio kwamba ukiona mtu yuko ccm basi unaomba mabaya yamkute hata apate shida kama iyo ndo furaha yako,....sidhani kama siasa za chuki kama wewe zitasaidia. zaidi ya yote usikute huyo mama ni mwanachadema au cuf, na wala si mwanasisiemu. angekuwa ameshafaidika na ccm angekuwa na laki na nusu atoe ili mtoto wake apone na asipate fistula. ukifuatilia utakuta hajafanya chochote kusapoti ccm na pengine ni mpiganaji mmoja wapo huko uswahilini.
kanga na kofia alipokea vimeshachakaa unakataa nini, we msemaji wake?