vivian
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,749
- 1,000
Hivi watanzania tumefikia Kutojali muda kiasi hiki?
What the hell is Dakika Sifuri.
Ndio maana ukienda sehemu mbali mbali kupata huduma, ukiuliza bado muda gani unaambiwa Bado Kidogo.
''nitakutumia sio Muda''
''nisubiri kidogo''
''nakuja''
''nitafanya kesho''- hapa hausemwi muda gani.
Watanzania tunahitaji Elimu ya Muda.
What the hell is Dakika Sifuri.
Ndio maana ukienda sehemu mbali mbali kupata huduma, ukiuliza bado muda gani unaambiwa Bado Kidogo.
''nitakutumia sio Muda''
''nisubiri kidogo''
''nakuja''
''nitafanya kesho''- hapa hausemwi muda gani.
Watanzania tunahitaji Elimu ya Muda.