Dakika Sifuri.

vivian

JF-Expert Member
Nov 2, 2009
1,749
1,000
Hivi watanzania tumefikia Kutojali muda kiasi hiki?

What the hell is Dakika Sifuri.

Ndio maana ukienda sehemu mbali mbali kupata huduma, ukiuliza bado muda gani unaambiwa Bado Kidogo.

''nitakutumia sio Muda''
''nisubiri kidogo''
''nakuja''
''nitafanya kesho''- hapa hausemwi muda gani.

Watanzania tunahitaji Elimu ya Muda.
 
Nasikia sana watangazaji hasa wa vipindi vya muziki wa bongo fleva wanatumia sana hili neno, dakika sifuri.
 
Ni kweli tunahitaji elimu ya muda,hata kwenye mambo ya msingi sana wengi wetu hatuheshimu muda....!
 
Ukiwa unamsubiri mtu ndio inakuwa kero zaidi.
Mtu yupo magomeni mataa unamsubiri k/koo anakwambia nipo fire hapa nipe dakika 0 nakuja, unaweza kununua ugomvi na kumtia mtu makofi kwenye daladala lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom