Dakika 1 krosi 10!

Raia Fulani

JF-Expert Member
Mar 12, 2009
10,875
2,736
Tukiendelea kusubiria serikali mpya chini ya uongozi mpya si vibaya tukapunguzia stress humu. Kuna wanaume ambao wakiachwa na mwanamke, haijalishi ni mke/demu wa mtu/best, wao lazima watupe neno la mahaba. Hawa ni silika, tabia ama udhaifu? Najua mnajua kuwa hawa watu wapo. Halafu bahati mbaya hutokea wakafanikiwa. Hii imekaaje
 
Tukiendelea kusubiria serikali mpya chini ya uongozi mpya si vibaya tukapunguzia stress humu. Kuna wanaume ambao wakiachwa na mwanamke, haijalishi ni mke/demu wa mtu/best, wao lazima watupe neno la mahaba. Hawa ni silika, tabia ama udhaifu? Najua mnajua kuwa hawa watu wapo. Halafu bahati mbaya hutokea wakafanikiwa. Hii imekaaje
I never touch alcohols!
Inever touch extra-marital affairs!
Two things!
 
What did u touch, pj. It sometimes depends. Japo ni tabia mbaya kweli, hao wanawake wanashawishika na nini hasa
 
tukiendelea kusubiria serikali mpya chini ya uongozi mpya si vibaya tukapunguzia stress humu. Kuna wanaume ambao wakiachwa na mwanamke, haijalishi ni mke/demu wa mtu/best, wao lazima watupe neno la mahaba. Hawa ni silika, tabia ama udhaifu? Najua mnajua kuwa hawa watu wapo. Halafu bahati mbaya hutokea wakafanikiwa. Hii imekaaje
wana mapepo
 
Jk tutamwandalia kitu cha dokii kumpunguzia stress za kulikosa jumba jeupe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom