Kyachakiche
JF-Expert Member
- Feb 16, 2009
- 983
- 207
nani huyu mjomba?
Huyo ndiye Mkumbwa Ali!
nani huyu mjomba?
Toleo la leo 5/10/2010 kwenye 'Editorial/ Analysis' linaongelea suala la Upadre na mahusiano yake na Josephine suala ambalo liko mahakamani. Makala hiyo imeandikwa na 'correspondent' wao Msemakweli Sadiki.
Naomba Daily News muandike na za wagombea wengine kuhusu 'private matters zao. Kwanza hii si story tena imekwisha chuja!