Elections 2010 Daily News waendesha "poll"- Wao nao wataka kujua kama Dr. Slaa atashinda Urais!

JF IS FOR CHADEMA AND SLAA.......
Wakati najiandikisha JF, sikumbuki kama niliulizwa kama mimi nina itikadi gani wala dini gani. Je Mahesabu, wewe uliulizwa ? Kama hapana kwa nini unadai kuwa JF ni kwa Chadema na Dr. Slaa tu.

WHY NOT LIPUMBA........? na soon post hii nayo itafutwa ....UKWELI BWANA....!
Poll hii ilianzishwa na mwanachama moja wa JF, kwa nini na wewe usianzishe poll inayohusu kukubalika kwa Lipumba. Je, umekatazwa na kama bado nakuomba Mahesabu uianze na wengine tuichangie.

LET OTHER MEDIA DO THEIR POLLS TOO....!
Polls (kura za maoni) zinaanzishwa kwenye vyombo mbali mbali kila siku na hao wanaopiga kura sidhani kama wanazuiwa kwa misingi ya itikadi wala dini. Zifuatazo ni polls chache tu ambazo zimeanzishwa sehemu mbambali. Nakuomba Mahesabu ujaribu kuzipitia huko na matokeo yalivyo hadi wakati huu.

moja

Mini Poll Results - Daily News
Will Dr Slaa win the presidential race?
Yes 204 votes. (73.12 %)
Maybe 22 votes. (7.89 %)
No 53 votes. (19.00 %)
Total votes: 279
mbili

Mini polls za JF
Je, bado una imani na serikali ya Kikwete ?
NDIYO (YES)
843 21.18%
HAPANA (NO) 2,986 75.01%
Sijui (Undecided!) 152 3.82%
tatu

Polls za gazeti la Mwananchi
Waziri kupiga goti na kutoa shikamoo ni ishara ya unyenyekevu wa kweli?
Hapana - 1067 89.9%
Ndiyo - 73 6.1%
Sijui 47 4%

nne
Kura ya Maoni» - IPPmedia
Utendaji wa TAKUKURU katika chaguzi za vyama. Ni ishara ya kuongezeka kwa umakini?
Ndio - 27%
Hapana - 73%
Total number of votes: 33

POLL za dr. slaa ni 4,000 je kura 4,000 za JF ZITAMPA SLAA USHINDI?
Lakini angalau zimempa ushindi JF kama ilivyompa ushindi Daily News - labda useme na Daily News ni Chadema. Mahesabu, wahenga walisema, chema chajiuza, kibaya chajitembeza ! - kalaghabaho !
 
Halafu hao jamaa wa Daily News wanaonyesha kuwa watakuwa wanaripoti chaguzi za nchi mbili tofauti: Tanzania na Zanzibar!!! Soma hapa


attachment.php

Viongozi hao wa Daily News wamekosa umakini kabisa, yaani wanajifanyia mambo yao hovyo hovyo tu!

country.JPG
 
Kwa sasa 74.1% ya waliopiga kura ya maoni Daily News wanasema Slaa atashinda Urais. Natamani kungekuwa na chombo huru (kama Gallup) ambacho kingefanya kura ya maoni ya Watanzania wote. Kilinganishe kati ya Slaa na Kikwete. Sina shaka Slaa angepata karibu asilimia hiyo hiyo ya 75.

Miaka 50 ya TANU na CCM imetosha. Sasa tunataka mabadiliko. Mabadailiko yatakayotuletea maendeleo na kutupa vyombo huru vya Mahakama, Mwanasheria Mkuu, IGP, Mkuu wa PCB, Mkuu wa Jeshi.
 
Few minutes ago results!!!
Mini Poll Results
Will Dr Slaa win the presidential race?Yes 222 votes. (74.75 %)
bar.jpg
Maybe 22 votes. (7.41 %)
bar.jpg
No 53 votes. (17.85 %)
bar.jpg
Total votes: 297

I voted YES. Kwa mtiririko huu wa matokeo, likely watasitisha hili zoezi maana ngoma haitoi sauti wanayotaka itoke.
 
"Dr. Slaa alifukua mizizi ya Ufisadi Bungeni, Sasa tumpe Jembe akaing'oe" Ndege ya Uchumi 2010
UKIONA VYAELEA VIMEUNDWA WAKUU.........IT TOOK MORE THAN 40YEARS TO BUILD CCM........HOW MANY YEARS FOR CHADEMA? CUF shakes in the isles.......NCCR SHOWED HOW THE OPPOSITION SHOULD BE...........BUT ONE THING I SEE.....DISUNITY among opposition will fell them apart....! take my words......!
JOIN NOW.....CUF,CHADEMA,TLP,DP,UDP....AND HAVE ONE VOICE FOR PRESIDENCY YOU WILL HAVE MY SINGLE VOTE.......FANYENI KAMA MNAVYOFANYAGA ....CUF LWAO.....CHADEMA LWAO......NCCR LWAO...TLP LWAO.......I WILL THINK WHERE TO CAST MY SINGLE BALLOT...!
Hapa hata mimi nakuunga mkono,umeongea maneno yenye kuonyesha uchungu wa kweli na hii Tanzania,sasa naweza kuona uko kwenye mtizamo gani.
Ni kweli yote uliyoongea ni sahihi,
Kumbukumbu:
TANU NA ASP ziliungana na kuunda CCM.Je ni kweli?CCM Iko wapi sasa.
 
JF IS FOR CHADEMA AND SLAA.......WHY NOT LIPUMBA........? na soon post hii nayo itafutwa ....UKWELI BWANA....! LET OTHER MEDIA DO THEIR POLLS TOO....! POLL za dr. slaa ni 4,000 je kura 4,000 za JF ZITAMPA SLAA USHINDI?

ndio zitampa ushindi kwani vipi
 
JF IS FOR CHADEMA AND SLAA.......WHY NOT LIPUMBA........? na soon post hii nayo itafutwa ....UKWELI BWANA....! LET OTHER MEDIA DO THEIR POLLS TOO....! POLL za dr. slaa ni 4,000 je kura 4,000 za JF ZITAMPA SLAA USHINDI?

Na wewe pia ni Chadema?
 
Mini Poll ResultsWhich political party will get more parliamentary seats in the 2010 general election? CCM 8 votes. (34.78 %)
bar.jpg
CUF 0 votes. (0.00 %)
bar.jpg
NCCR-Mageuzi 0 votes. (0.00 %)
bar.jpg
Chadema 15 votes. (65.22 %)
bar.jpg
UDP 0 votes. (0.00 %)
bar.jpg
SAU 0 votes. (0.00 %)
bar.jpg
APPT-Maendeleo 0 votes. (0.00 %)
bar.jpg
TLP 0 votes. (0.00 %)
bar.jpg
Total votes: 23
 
CCM 8 votes. (36.36 %)
bar.jpg
CUF 0 votes. (0.00 %)
bar.jpg
NCCR-Mageuzi 0 votes. (0.00 %)
bar.jpg
Chadema 14 votes. (63.64 %)
bar.jpg
UDP 0 votes. (0.00 %)
bar.jpg
SAU 0 votes. (0.00 %)
bar.jpg
APPT-Maendeleo 0 votes. (0.00 %)
bar.jpg
TLP 0 votes. (0.00 %)
bar.jpg
Total votes: 22



IF U CAN SEE THE NUMBER OF VOTERS SO FAR IS 22, I DONT THINK THIS SAMPLE IS BIG ENUF TO GIVE A STATISTICALLY SIGNIFICANT CLAIM.

NEVERTHELESS LETS VOTE CHADEMA'S WAY AND MAKE THIS RESULT ABOVE A REALITY...!

TZ BILA CCM INAWEZEKANA ..........!
 
IIt is getting clearer and clearer to me that those who support the gifted opposition leader, our hero Dr Slaa are more likely to be those who read papers and participate in the internet chat!!!! I am getting worried that the number of supporters on these fora is perhaps not indicative of the nation's support to this son of the land! CCM supporters may not be here nor do they bother reading papers, participating in the printing media voting etc....mmmhhhh we need to do something...

The other day I was with a Director of x unit at a public university. I was reading Tanzania Daima and asked his opinion about Slaa. He confessed the last time he heard about him, he was debating whether or not to go for the presidential race. He admitted he does not read papers nor watch tv news. If that is the case, then what about those who do not have access to this. Chadema shall need more than two copters to get to the people. Ni kazi ngumu, tusilale mpaka tuelewe tuna-support ya wwana vijiji
 
Uki-Vote any other party apart from CCM kuna error message below inatokea:

Notice: A non well formed numeric value encountered in /home/tyhtkuu/public_html/election/Pollscript/includes/miniPoll.class.php on line 133

:confused2:
 
Chadema kuwa na wabunge wengi zaidi ya CCM? Inahitaji kutoijua hali ya kisiasa ya Tanzania ili kuwaza hivyo.

Nikiangalia kwa haraka Chadema itapata majimbo yasiyozidi 10, take my words!!
 
Uki-Vote any other party apart from CCM kuna error message below inatokea:



:confused2:

Mkuu inawezekana kuna tatizo ktk kompyuta yako.
mimi nimejaribu na haikutoa error yeyote.
Ila ni kweli kuwa waliojitokezapaka sasa ni 40 ila wanatosha ku'determine hali itakuwaje pale wapiga kura watakapofikia milions.
 
Chadema kuwa na wabunge wengi zaidi ya CCM? Inahitaji kutoijua hali ya kisiasa ya Tanzania ili kuwaza hivyo.

Nikiangalia kwa haraka Chadema inatapata majimbo yasiyozidi 10, take my words!!
hakuna mtu mwenye roho ngumu kama mgonjwa wa ukimwi hata ukimwambia ugonjwa huu hauna dawa atakuuliza hivi nitakufa.
 
Hebu tuambiane ni kina nani wanaosoma Daily news???? je ni mamilioni tunaowapigania wapate shule wajue kusoma na kuandika au ni maelfu wachache wanaopata fursa ya kutoa TZS 500 kulinunua au kulikuta ofisini??? nashindwa kupata jibu la ni tabaka gani wanapiga hiyo kura katika mtandao wa Daily News ambalo ni la kidhungu na bibi zangu kule kijijni hawajui hata Nipashe la jana linafananaje na hao ni wengi kuliko tunavyodhani..
sidhani kama hiyo kura inatosha kusema CCM na JK wamepoteza kukubalika kwao kwani inaonesha wengi wanaoshabikia upinzani ndio wanaochangamkia kupigia kura Dr.Slaa na kusahau kuwa safari bado ni ndefu na Oktoba ikifika ndio tutajua nani anaongoza kura za Daily news na nani anaongoza kura za jumla za watanzania wote...so tuambiane ukweli wanajamii..kura hizi bado haziwasilishi matakwa ya watanzania kwenye nafasi ya Rais hasa tunapoelekea uchaguzi mkuu..
 
Back
Top Bottom