Kajibuni kwenye Tanzaniadaima kila mtu na uwanja wake wa kujidai ati!
ha ha ha ... leo hadi masatu katokea?
Lakini Dailynews ni gazeti la serikali na sio la chama.
Ingekuwa Rai, mtanzania na tabloids zingine wameandika haya, nani angejali?
Kajibuni kwenye Tanzaniadaima kila mtu na uwanja wake wa kujidai ati!
It is not fare to take bits and pieces of an article na kufikia conclusion. Uli takiwa kutoa the whole article wasomaji waone ni kwa nini conclusion hiyo ilifikiwa na hilo gazeti. Anyway down here I'll quote an article from the editor of Daily News. Somemi kitu kizima ndiyo mtoe hukumu.
kaka umetusaidia...hawa Jamaa zetu kwa kupindisha ndio zao...na ndio hukaa kujisiifisia eti Great Thinker...!!!
if DR SIRAHA will not be the next president and they believe on that..then they have to put back ''vote online" again and we will see who is gonna be the next president os TZ. My friends 100% these polls they real reflect the result of 31 october.mvua ya mawe inakuja . Lazima tuvapige kipunde du!!
Kajibuni kwenye Tanzaniadaima kila mtu na uwanja wake wa kujidai ati!
Mhariri anaitwa MKUMBWA ALLY. Huyu anafahamika sana kwa kula RUSHWA, na ni kati ya wahariri waliopo kwenye payroll za mafisadi. Haishangazi kuona mafisadi hao hao wakimtumia kuua taaluma yake kwa kuandika ujinga kama huu. Kwa maoni yangu, huyu ana kesi ya kujibu. Nitashangaa sana iwapo hakutakuwa na hatua zozote zitakazochukuliwa dhidi yake. Daily News, Habari Leo na Mtanzania/Rai wasi-underrate intelligence ya Watanzania.