Elections 2010 Daily News: JK akiri hatma ya wagombea ipo mikononi mwa wapigakura...................

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,172
Daily News limeripoti kuwa JK amekiri ya kuwa hatma ya wagombea wote ipo mikononi mwa wapiga kura...kauli hii inatia matumaini kwani kumekuwa na jitihada ya kumshinikiza Dr. Slaa tu kukubali matokeo lakini jitihada hizo kamwe hazijawahi kuelekezwa kwa JK..

Wasi wasi wangu kila mara umekuwa hivi JK mbona haulizwi kama yupo tayari kuyakubali matokeo ikimaanisha ya kuwa lo lote lawezekana kutokea tu hata kwake na CCM yake matokeo yanaweza kuja wasivyotaka.....je watayakubali?..

Hivi JK kuweka bayana kuwa hatma ya wagombea wote ikimaanisha na yeye ipo mikononi mwa wapigakura kauli hii tusipuuze hata kidogo ni kauli ya kiutu uzima kabisa....ya kuwa lolote laweza kutokea hata kwake na CCM yake..........Mimi siyo mpenzi wa JK hata kidogo lakini hapo amenena na apaswa kupongezwa vilivyo.........................
 
Daily News limeripoti kuwa JK amekiri ya kuwa hatma ya wagombea wote ipo mikononi mwa wapiga kura...kauli hii inatia matumaini kwani kumekuwa na jitihada ya kumshinikiza Dr. Slaa tu kukubali matokeo lakini jitihada hizo kamwe hazijawahi kuelekezwa kwa JK..

Wasi wasi wangu kila mara umekuwa hivi JK mbona haulizwi kama yupo tayari kuyakubali matokeo ikimaanisha ya kuwa lo lote lawezekana kutokea tu hata kwake na CCM yake matokeo yanaweza kuja wasivyotaka.....je watayakubali?..

Hivi JK kuweka bayana kuwa hatma ya wagombea wote ikimaanisha na yeye ipo mikononi mwa wapigakura kauli hii tusipuuze hata kidogo ni kauli ya kiutu uzima kabisa....ya kuwa lolote laweza kutokea hata kwake na CCM yake..........Mimi siyo mpenzi wa JK hata kidogo lakini hapo amenena na apaswa kupongezwa vilivyo.........................

angekuwa anmaanisha anachosema siku nyingi angekuwa amekubali maoni ya wapinzani kuunda Tume Huru ya Uchaguzi. Hiyo ni danganya toto. Heshima yake imeshuka!!!!!!!!!!!!. Tazama mwenzie Karume heshima ilivyopanda kwa kuchukua maamuzi magumu Zanibar imetulia kama maji kwenye mtungi
.
 
Back
Top Bottom