Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
Daily News limeripoti kuwa JK amekiri ya kuwa hatma ya wagombea wote ipo mikononi mwa wapiga kura...kauli hii inatia matumaini kwani kumekuwa na jitihada ya kumshinikiza Dr. Slaa tu kukubali matokeo lakini jitihada hizo kamwe hazijawahi kuelekezwa kwa JK..
Wasi wasi wangu kila mara umekuwa hivi JK mbona haulizwi kama yupo tayari kuyakubali matokeo ikimaanisha ya kuwa lo lote lawezekana kutokea tu hata kwake na CCM yake matokeo yanaweza kuja wasivyotaka.....je watayakubali?..
Hivi JK kuweka bayana kuwa hatma ya wagombea wote ikimaanisha na yeye ipo mikononi mwa wapigakura kauli hii tusipuuze hata kidogo ni kauli ya kiutu uzima kabisa....ya kuwa lolote laweza kutokea hata kwake na CCM yake..........Mimi siyo mpenzi wa JK hata kidogo lakini hapo amenena na apaswa kupongezwa vilivyo.........................
Wasi wasi wangu kila mara umekuwa hivi JK mbona haulizwi kama yupo tayari kuyakubali matokeo ikimaanisha ya kuwa lo lote lawezekana kutokea tu hata kwake na CCM yake matokeo yanaweza kuja wasivyotaka.....je watayakubali?..
Hivi JK kuweka bayana kuwa hatma ya wagombea wote ikimaanisha na yeye ipo mikononi mwa wapigakura kauli hii tusipuuze hata kidogo ni kauli ya kiutu uzima kabisa....ya kuwa lolote laweza kutokea hata kwake na CCM yake..........Mimi siyo mpenzi wa JK hata kidogo lakini hapo amenena na apaswa kupongezwa vilivyo.........................