Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Chips Kuku na Saluni kwani mimi ndo nimekwambia uje mjini?hahah..ndo wanaume wa siku hizi mwaya!!
Chips Kuku na Saluni kwani mimi ndo nimekwambia uje mjini?hahah..ndo wanaume wa siku hizi mwaya!!
Aseeee..............umekuwa jogoo??Sheikh hizo dakika tatu si zinakutosha kumaliza mahitaji yako kwake?
Chips Kuku na Saluni kwani mimi ndo nimekwambia uje mjini?
hapo unajibu i love you too baby..
nipo safari kikazi sumbawanga,nikirudi tutaongea..
muaah...
hapo unajibu i love you too baby..
nipo safari kikazi sumbawanga,nikirudi tutaongea..
muaah...
The Boss hapo utaambiwa 'baby nimesajili m-posa' nikutumie Nr?
......au niko busy sana kweye mkutano hapa Namnaani....hebu mtume mmoja wa rafiki zako alie bomba zaidi aje achukue hiyo pesa
unamjibu 'baby huku kijiji nilipo hakuna wakala wa m pesa..
missing u muah ' lol
kaka ving'ang'anizi haoo utasikia "mmmh baby nlushie vocha basi"
Kuhonga 'kipaji'...kama huna we 'mezea' tu, usijitie kuchonga!
unamrushia vocha ya buku tu lol
dawa ya hawa 'chuna buzi type' usiwanyime kabisa
unawapa tu robo ya 'anachotaka kukuchuna'
ishu sio hela hapo
ishu ni 'dakika tatu' au huoni?