Dah..Uongozi kwa style hii sio Tanzania...

KAPIMWE Akili, this is Masaburi product .....



Naamka asubuhi nasikia kelele za walioishiwa na uwezo wa kufikiria...oh serikali inahusika...baada ya kusikiliza kwa makini nikajua yule mhusika na kifo cha ndugu yangu amepigwa na watu wasiojulikana....Nikasema na moyo wangu kweli ubaya unalipwa hapa hapa duniani...nina bahati ya kuwa na marafiki madaktari lakini nimepunguza mapenzi na hawa jamaa hata simu huwa siwapigii tena....

Kitu kimoja watu wasiochokijua ni jinsi gani watu fulani wanatumia mbinu chafu kuivuruga serikali yenye nia ya kuongeza maendeleo.
huyu dk. kwake Kiskulu ana duka kubwa sana la dawa na akaunti yake ina pesa nyingi sana kuliko kawaida na pia madai yake ya kutetea madaktari wa serikali ili masikini tufe haikuwa na mahesabu mazuri........

Maadili ya utaalamu wao hayapaswi kuvunjwa kwa kisingizio cha migomo nafikiri ingekuwa vyema wangetumia chombo mbadala kufikisha malalamiko yao..kwanza sio media iliyovurunda ....kuna wakati Mkapa alisema waandishi wa Tanzania hawajui kazi yao nakubaliana nae kabisa....

Madaktari wangeongea na mabosi wao kwanza ambao ni Wananchi wa jamhuri ya Tanzania na kuomba ushirikiano wa wananchi katika kulizungumzia hili na sio kuleta zengwe, ila wao wakaona wamchukue mwehu mmoja awaongoze kutuua ....haswa wakitaka waongezewe pesa wananunue magari zaidi na kushinda leaders baada ya kazi.....


Nasema hivi mkirudia mgomo hamgomei serikali mnatugomea sisi na hiko chama kinachowapotosha kinashangaza sana kilipaswa kikae na wananchi wazungumze namna nzuri ya kutatua matatizo huku madaktari wakiendelea na kazi zao, sasa kimekosa kauli, kimeonekana kabisa ni chama cha majimbo ukabila, udini na mbaya ni cha kutuua sisi sisi watanzania.....

poleni hamtopata kura na pia hamtaongoza ........
 
Naamka asubuhi nasikia kelele za walioishiwa na uwezo wa kufikiria...oh serikali inahusika...baada ya kusikiliza kwa makini nikajua yule mhusika na kifo cha ndugu yangu amepigwa na watu wasiojulikana....Nikasema na moyo wangu kweli ubaya unalipwa hapa hapa duniani...nina bahati ya kuwa na marafiki madaktari lakini nimepunguza mapenzi na hawa jamaa hata simu huwa siwapigii tena....

Kitu kimoja watu wasiochokijua ni jinsi gani watu fulani wanatumia mbinu chafu kuivuruga serikali yenye nia ya kuongeza maendeleo.
huyu dk. kwake Kiskulu ana duka kubwa sana la dawa na akaunti yake ina pesa nyingi sana kuliko kawaida na pia madai yake ya kutetea madaktari wa serikali ili masikini tufe haikuwa na mahesabu mazuri........

Maadili ya utaalamu wao hayapaswi kuvunjwa kwa kisingizio cha migomo nafikiri ingekuwa vyema wangetumia chombo mbadala kufikisha malalamiko yao..kwanza sio media iliyovurunda ....kuna wakati Mkapa alisema waandishi wa Tanzania hawajui kazi yao nakubaliana nae kabisa....

Madaktari wangeongea na mabosi wao kwanza ambao ni Wananchi wa jamhuri ya Tanzania na kuomba ushirikiano wa wananchi katika kulizungumzia hili na sio kuleta zengwe, ila wao wakaona wamchukue mwehu mmoja awaongoze kutuua ....haswa wakitaka waongezewe pesa wananunue magari zaidi na kushinda leaders baada ya kazi.....


Nasema hivi mkirudia mgomo hamgomei serikali mnatugomea sisi na hiko chama kinachowapotosha kinashangaza sana kilipaswa kikae na wananchi wazungumze namna nzuri ya kutatua matatizo huku madaktari wakiendelea na kazi zao, sasa kimekosa kauli, kimeonekana kabisa ni chama cha majimbo ukabila, udini na mbaya ni cha kutuua sisi sisi watanzania.....

poleni hamtopata kura na pia hamtaongoza ........

Mnahangaika sana,nimeamini kifo chenu kiko karibu
 
Join Date : 27th September 2011
Posts : 15
Rep Power : 344
Likes Received1
Likes Given0
 
miss strong;Ujumbe hovyo...Nchi ni yetu wote haiwezekan rasilimal za nchi ziliwe na wajanja wachache na walimu,Madaktar wanapata shida!Upumbavu wa ccm ndo unatufikisha hapa...Tutaonana uchaguz ujao.

Mkuu miss strong; acha siasa na dogma kwenye mambo ya msingi na jaribu kuuthink beyond what you are told. Ivi hujuwi kwamba wanaofanya ufisadi ndani ya Wizara ya Afya ni madaktari wenyewe. Kabla suala hili halijaamuliwa kupelekwa kisiasa tumeskia mara ngapi madaktari wanauza dawa na vifaa vingine? Ni madaktari wangapi wanahospitali zao ambazo zinatumia vifaa vya Serikali bila kibali? Wanoomba rushwa hospitalini ni mafisadi kama sio hao madaktari wanotaka takehome ya 7,500,000/=? Je huku private hospitals wanapofanya wanapewa mshahara gani? Je sisi tuliosoma sekta nyingine ni kweli hatuna akili ya kustahili mishahara hiyo? Je wabunge wa CDM wanoshabikia mgomo kwa vile wanaotibiwa kwenye hospitali za private kama kweli wanauchungu wa nchi yao kwa nini wasichangie kwenye vizahanati vilivyo kwenye majimbo yao, hata gloves? Ni kweli kuna upungufu wa vitendea kazi lakini hili si kwa sekta ya afya pekee, je suluhisho zuri ni kuwagomea watanzania maskini wakati sisi tunaenda private hospital. Tuache usanii, madaraka tunayoyataka kwa kupitia damu za watu kamwe hayatakuwa kwa wafaida ya watanzania wote!!!!!!!
 
Gwalihenzi achana na huyo kichaa...as Mark Twain would put it...Never argue with stupid people, they will drag you down to their level and then beat you with their experience.

security guard, free your mind and think, I know we live in a world of smart phones and stupid people but, OMG! the level of stupidity you exhibit here is astounding! The reaction of our CCM government is like that of a student who when a teacher passes by during a test, covers his answers with his hand so the teacher cannot see how stupid he is! To the opposition I have but one advice... never ever understimate the power of stupid people in large groups especially if they all somehow share some evil ideology like UFISADI.
I appreciate your wisdom sir.
 
Naamka asubuhi nasikia kelele za walioishiwa na uwezo wa kufikiria...oh serikali inahusika...baada ya kusikiliza kwa makini nikajua yule mhusika na kifo cha ndugu yangu amepigwa na watu wasiojulikana....Nikasema na moyo wangu kweli ubaya unalipwa hapa hapa duniani...nina bahati ya kuwa na marafiki madaktari lakini nimepunguza mapenzi na hawa jamaa hata simu huwa siwapigii tena....

Kitu kimoja watu wasiochokijua ni jinsi gani watu fulani wanatumia mbinu chafu kuivuruga serikali yenye nia ya kuongeza maendeleo.
huyu dk. kwake Kiskulu ana duka kubwa sana la dawa na akaunti yake ina pesa nyingi sana kuliko kawaida na pia madai yake ya kutetea madaktari wa serikali ili masikini tufe haikuwa na mahesabu mazuri........

Maadili ya utaalamu wao hayapaswi kuvunjwa kwa kisingizio cha migomo nafikiri ingekuwa vyema wangetumia chombo mbadala kufikisha malalamiko yao..kwanza sio media iliyovurunda ....kuna wakati Mkapa alisema waandishi wa Tanzania hawajui kazi yao nakubaliana nae kabisa....

Madaktari wangeongea na mabosi wao kwanza ambao ni Wananchi wa jamhuri ya Tanzania na kuomba ushirikiano wa wananchi katika kulizungumzia hili na sio kuleta zengwe, ila wao wakaona wamchukue mwehu mmoja awaongoze kutuua ....haswa wakitaka waongezewe pesa wananunue magari zaidi na kushinda leaders baada ya kazi.....


Nasema hivi mkirudia mgomo hamgomei serikali mnatugomea sisi na hiko chama kinachowapotosha kinashangaza sana kilipaswa kikae na wananchi wazungumze namna nzuri ya kutatua matatizo huku madaktari wakiendelea na kazi zao, sasa kimekosa kauli, kimeonekana kabisa ni chama cha majimbo ukabila, udini na mbaya ni cha kutuua sisi sisi watanzania.....

poleni hamtopata kura na pia hamtaongoza ........
kama huyo daktari mwenye mapesa mengi unayemjua wewe ulimpa mtaji wewe ama alipewa mtaji na wazazi wake wenye uwezo ama alilazimika kuiba x ray hospitalini na kuiuza ili kupata mtaji sawaaa......... Lakini madaktari niwajuao mimi hapa mjini dar es salaam bia tunawanunulia sisi, hela ya mafuta wanaisalandia balaa!! ukimpa buku kumi anakushukuru! acha kutudanganya wewe bwana, usifanye maisha ya kila mtanzania ni ya kisiasa! Eti madaktari wanatugomea sisi! katiba umeisoma wewe? SERIKALI ndio iko responsible/ inayowajibika na afya ya kila mtanzania, wakiwemo na hao hao madaktari! Katiba ni mkataba kati ya wananchi na mihimili mikuu 3 ya nchi! wananchi wanaweza kuigomea serikali, na serikali inaweza kuwagomea wananchi, kwa sababu wana mkataba ambao ndio katiba! daktari kama mtaalam anaajiriwa na serikali kwa mkataba kati yao, kwa hiyo ana uwezo wa kuigomea serikali tu! madaktari wanachokifanya sasa hivi hakihusiani na siasa kabisaa!! wao wanapigania mabadiliko katika sekta ya afya! hawajalalamika kuwa wanakandamizwa na chama chochote ama kuwa watampigia kura mtu wa chama kingine 2015, wao wanataka serikali iipe kipaumbele secta ya afya (tena sasa hivi) kwa kila namna ili mwananchi wa kitanzania aweze kupewa hudoma bora za afya bure hapahapa tanzania, sio aje kulala sakafuni, sio aje kutibiwa malaria halafu anaondoka na TB..... Tuwe serious BWANA, wewe ndiye unaeleta siasa kwenye hili jambo! Madaktari ni watu wenye akili nyingi sana, hawawezi kufuafuata mikumbo ya kisiasa tuuuu...... eti ili kuiyumbisha serikali! Hizo story kazipeleke kijiweni kwako unapopenda kupotosha watu wenye IQ fupi! KAPISH!
 
Security Guard, Kwa elimu yako na ya magamba wenzako kama prof majimarefu na lusinde, lazima fikra zako ziwe hivyo. Urafiki wa mlinzi na Dr wapi na wapi, Tafuta dawa zako za milembe, tumia Hallopuridol 200mg BD X 14/7.
 
attachment.php
 
Back
Top Bottom