Yes, I agreesure!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes, I agreesure!
Kuna mtu aliwahi kuniambia kuwa si vizuri hasa kwa mtoto wa kiume kumsifu mama yake kuwa eti amependeza, hoja yake ilikuwa ni kwamba utakuwa umeshamthaminisha maza juu-chini-mbele-nyuma kitu ambacho si kizuri.
Sijui kwakweli kama alikwambia kitu sahihi manake heshima ya Mama haiondolewi na wewe kumwambia umependeza,Kuna mtu aliwahi kuniambia kuwa si vizuri hasa kwa mtoto wa kiume kumsifu mama yake kuwa eti amependeza, hoja yake ilikuwa ni kwamba utakuwa umeshamthaminisha maza juu-chini-mbele-nyuma kitu ambacho si kizuri.
wanawake wamezidi sasa kwa akili za ki-ngongo ngono!asilimia 80 ya ubongo wa wanawake katika umri fulani wanawaza mapenzi.na wanatumia muda mwingi sana kujadili ngono.mimi ni mwalimu wa sekondari ya wasichana huku lupembe-manyunyu girls nayajua haya
Nimeambiwa ni ushamba kukataa kupokea au kutoa thanks. Kwahiyo nimeanza kupokea na kutoa rasmi, nikiona post yako imetulia lazima nikupe thanks nimeambiwa ndio utamaduni wenu.The Following User Says Thank You to Masaki For This Useful Post: Pazia (Today)
Eeeh Pazi nimona umegonga senksi hapa kinyume na Masharti uliyokiwekea kuleee...........
PJ unakunywa hii kkitu? mi naonaga kama Molasesi hivi!Aksante Mkuu Masaki.
Mlta Guiness iliyopoozwa sana!
Au unaogopa ntaleta nzi kwenye meza yako mkuu!..sidhani!
Nguli anamaanisha Michelle Obama. Au siyo Mkulu?Mfano mama wa kwanza wa taifa kubwa na tajiri duniani lile linalopinga ugaidi na osama kwa ujumla.
hahahahaaaaa! hii inahusika. au ukimwambia mtu una mguu mzuri, ujue tayari umeshauangalia na uu-imagine mpaka miguu inapokutaniaKiongozi,
Hii scenario ndiyo nilikuwa najairibu kuielezea hapa. Unapomwambia mtu wa jinsia tofauti kuwa umependeza, mimi nahisi kuna "element ya tamaa inakuwa imekuwaka" i.e. unajaribu kumwambia kimoyo moyo sentensi kama "Yeah ningekuwa single kuna siku ningekutokea" AU " na-imagine umbile lako likoje unapokuwa nguo-less" e.t.c
Ila mabinti wanadanganyana sana, unamkuta mtu kavaa nguo duu! inammbana na shepu hana kabisa ya aina hiyo ya nguo kwa mfano visuruale hivi vyeusi vilaini vya siku hizi. Unamkuta mmama dada kapandisha hadi kwenye kitambi akija utazani anarudi wanashindana na vibinti vyao......ila utaikia swt umependeza uemnunua wapi hio??? mimi nawambiaga mweleze ukweli.....anasema atasema na wivu bure..
Wengine wanakuwaga wanafiki tu!!! mafuta kwa mgongo wa chupahahaha hiyo mkuu umewaambia ukweli mtupu. Akina dada bana wanashangaza sana. Mara nyingi mimi hua naona wanasifia tu wenzao hata kama hawajapendeza. Sasa ishakua fake to the extent kwamba hata anaeongea ukweli haeleweki na anaesema ukweli haeleweki. Duh akina dada bana!
Hapa sasa naona kuwaambia akina dada umependeza itaanza kuwa ngumu.mahaba MAHABATI!yanaweza kuwepo.i mean hii kitu ni lazima tuwe wazi tu kwakweli....!yupo msomi mmoja wa siku nyingi aliwahi kuthibitisha kwamba
A HUMAN BRAIN IS SEX MINDED!......
Kuna mtu aliwahi kuniambia kuwa si vizuri hasa kwa mtoto wa kiume kumsifu mama yake kuwa eti amependeza, hoja yake ilikuwa ni kwamba utakuwa umeshamthaminisha maza juu-chini-mbele-nyuma kitu ambacho si kizuri.
Sijui kwakweli kama alikwambia kitu sahihi manake heshima ya Mama haiondolewi na wewe kumwambia umependeza,
kama ndio hivyo waweza husimweleze lakini bado ukamthamanisha something which is bad
I have to be proud of my mumy kila siku kumwambia....Mumy umependeza sana....live forever Mama
Kiongozi,
Hii scenario ndiyo nilikuwa najairibu kuielezea hapa. Unapomwambia mtu wa jinsia tofauti kuwa umependeza, mimi nahisi kuna "element ya tamaa inakuwa imekuwaka" i.e. unajaribu kumwambia kimoyo moyo sentensi kama "Yeah ningekuwa single kuna siku ningekutokea" AU " na-imagine umbile lako likoje unapokuwa nguo-less" e.t.c