[/QUOTE]UMBO NA RANGI PIAin;1101554]ana sura nzuri
picha ya mwisho inatisha zaidi lakini hata ya pili,kweli nikikutana nae kny mwanga hafifu nitakimbia huh!hiyo picha ya mwisho balaa
kwan unazan uyu ana shida ya love?
ni ungekewa na upumbavu wa kutaka ..kujiminimize..!!!!!!
sasa apo km mimba itakaa wap muda ukifika?
mmh apana m nt man bt izi swaga za victoria bekham n other western cstylish ni za kitoto zaid......dah mtu kachomoka uyooooooooooooo kusema mzimu mmh mwaya hata ladha machoni hamna uyu inabid maisha yake ayafanyie ukouko west londn,ujerumani magharibi,russia ya kaskazin au uko schtalknverubaiaa ya mashariki bt in blak continet like her skin hooooo nooooooooooooo apana !!!!!!!!1
fashion mwaya apo mauzo tele uko panapo u model bt after while u wl treated like crap...........aongeze kilo 2 atulie!!!!!!!!
ebu mie nkapike madiko diko jibwabwa la nazi na samaki na viarage kdg na kamchicha ahaaaaaaaa kwa raha zangu unene njoo ninenepe kote watu waulizane mabarabarani.................!!!!!!!!!!!!!!! m kidng bwana