dfreym
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 342
- 87
kweli hapa ni patamu bhanaaaa, baada ya wiiki ukibrowse tu, free enternet hacked.
mara e2themia mara nani utasikia ya TIGO, MARA YA VODA, airtel na TTCL ndo BADO. yani mara ya mwisho kujiunga na bundle sijui ilikuwa mwaka gani. na za bure zina speed yani ni shaaaaaa! 2MBPS,3MBPS, Wengine 9MBPS. mpaka unachoka cha kudownload. komputer yangu imejaa DOWNLOADS, MPAKA NIFUTE NDO UNADOWNLOAD NYINGINE.
LONG LIVE Tech, Gadgets & Science Forum LONG LIVE JF.
mara e2themia mara nani utasikia ya TIGO, MARA YA VODA, airtel na TTCL ndo BADO. yani mara ya mwisho kujiunga na bundle sijui ilikuwa mwaka gani. na za bure zina speed yani ni shaaaaaa! 2MBPS,3MBPS, Wengine 9MBPS. mpaka unachoka cha kudownload. komputer yangu imejaa DOWNLOADS, MPAKA NIFUTE NDO UNADOWNLOAD NYINGINE.
LONG LIVE Tech, Gadgets & Science Forum LONG LIVE JF.