Dah! Jamii Forums IMENIPONZA....

Skuli nipigwe Ban, mnataka kunichongea kwa mod nipigwe na huku JF ban tena? sa ntakua mgeni wa nani?
 
Skuli nipigwe Ban, mnataka kunichongea kwa mod nipigwe na huku JF ban tena? sa ntakua mgeni wa nani?




hivi we mwanafunzi bado una mda wa kujibu msg?pole sana! unautoa wapi huu mda? wenzio tushamaliza kitabu na humu jf twaingia tukishamaliza viporo vya mabosi.
 
hizo wiki 3 jitahidi kupata tuisheni na kujisomea sio muda/nafasi kushinda JF utajajuta kijana
 
Skuli nipigwe Ban, mnataka kunichongea kwa mod nipigwe na huku JF ban tena? sa ntakua mgeni wa nani?

Wewe bado upo tu humu?? Huo muda badala ya kutumia kusoma wewe unaleta mchezo bado hakiyadada watoto siku hizi tunalipa ada za bure KASOME WEWE acha ujinga sio kushinda JF
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Nina wasi wasi kama JF ndo imekuponza.Chezea simu yako,usichezee muda wa masomo!

Join Date : 7th June 2011
Posts : 68
Thanks4Thanked 5 Times in 5 Posts

Rep Power
 
Pole kijana fuata sheria za shule ... ila watoto wa high school mmjeaa wengi sana Jf , mnakaribishwa ila msiwe mnachangia thread ambazo zipo nje ya uwezo wenu wa kufikiri mfano jamaa aliyejibiwa na mchungaji hivi ...

Kumbe wewe ni mjinga! Confirmed

yaani hadi mchungaji katoka hilo jibu yule jamaa alikuwa ni kiazi, ama ni mtoto wa form IV haelewi anachokiandika...

Anyways sheria ni msumeno ukirejea shule usivunje shera tena ....

Be free kuja kujifunza Jf on Your free time ..

 
Mm ni mwanafunz wa kidato cha tano katika shule maarufu sana hapa nchini, Jana usiku nimekutwa na kasheshe baada ya kukutwa na teacher nikiwa na simu alafu shule yenyewe hairuhusu mwanafunzi yoyote kumiliki simu.
Na nilikua busy kwa JamiiForums nikichangia matopics ya wanaJF.
Sasa, uongoz wa shule umenipiga suspension ya wiki tatu na sijui nitamwambia nini BiMkubwa home?
Aisee mwenye chochote anisaidie nipate cha kumwambia BiMkubwa.

Kama story hivi, hebu fafanua huenda mwalimu wako yupo humu humu jamii forum
 
hiyo adhabu wala haikutoshi, ningekuwa mimi ndo huyo mwlm wako ningekufukuza kabsa, uende ukatafute shule znazoruhusu sheria zivunjwe. Acha sifa.
 
Mm ni mwanafunz wa kidato cha tano katika shule maarufu sana hapa nchini, Jana usiku nimekutwa na kasheshe baada ya kukutwa na teacher nikiwa na simu alafu shule yenyewe hairuhusu mwanafunzi yoyote kumiliki simu.
Na nilikua busy kwa JamiiForums nikichangia matopics ya wanaJF.
Sasa, uongoz wa shule umenipiga suspension ya wiki tatu na sijui nitamwambia nini BiMkubwa home?
Aisee mwenye chochote anisaidie nipate cha kumwambia BiMkubwa.

Hata ungekuwa unaangalia site nyingine still ungepigwa suspension b'se shule za shule zinakataza. Na BiMkubwa ni CCM mbona utakiona.
 
Kumbe ndio maana jf siku hizi imebadilika!
Hawa ndio wanaleta mada ooh kuna jimama Sinza nimelikutata limeinama limejaa shanga kiunoni na jimama maskini yupo nyumbani kwake.

Haya Mods chuja huyu wa kwanza mwanafunzi wa form 2 wa form 5 hawezi kuwa hivi na tuendelee kuwachuja mpaka wabaki OVER 21yrs TU.Bila kuwa na Diploma/Degree nakala ithibitishwe na utawala hamna kujiunga JF la sivyo tutawajaza watoto wa form 2 jukwaa la kikubwa.
 
Mm ni mwanafunz wa kidato cha tano katika shule maarufu sana hapa nchini, Jana usiku nimekutwa na kasheshe baada ya kukutwa na teacher nikiwa na simu alafu shule yenyewe hairuhusu mwanafunzi yoyote kumiliki simu. Na nilikua busy kwa JamiiForums nikichangia matopics ya wanaJF. Sasa, uongoz wa shule umenipiga suspension ya wiki tatu na sijui nitamwambia nini BiMkubwa home?Aisee mwenye chochote anisaidie nipate cha kumwambia BiMkubwa.
Kama unafanya vizuri kwenye masomo yako. Mwambia bi mkubwa hiyo simu ndio hua inawasaidia kujifunza mambo muhimu ambayo walimu zenu wanawabania/kutowafundisha.Pia mwambie hiyo simu si yako ni ya mwanafunzi mwenzio.Ikiwa hufanyi vizuri katika masomo yako...hapo naamin jf ulikua unasoma jukwaa la MMU.Na kule kwenye siasa/udaku.So! Usirejee tena ispokua uwe unajitahidi kusoma kwa bidii zaidi.Kama huelewi/kutofundishwa vzuri mshauri bi mkubwa akuhamishe hiyo school.Ushauri wangu ndio huu.
 
Mmh! Kama darasani tcha yupo bado unabofya bofya je ukiwa prep mwenyewe? Pole dogo, usipoangalia utafeli. Mwambie ukweli bimkubwa wako. Nafikiri adhabu yako ikiisha utajirekebisha.
 
Mm ni mwanafunz wa kidato cha tano katika shule maarufu sana hapa nchini, Jana usiku nimekutwa na kasheshe baada ya kukutwa na teacher nikiwa na simu alafu shule yenyewe hairuhusu mwanafunzi yoyote kumiliki simu.
Na nilikua busy kwa JamiiForums nikichangia matopics ya wanaJF.
Sasa, uongoz wa shule umenipiga suspension ya wiki tatu na sijui nitamwambia nini BiMkubwa home?
Aisee mwenye chochote anisaidie nipate cha kumwambia BiMkubwa.

Wiki tatu tu? hauna haja ya kurudi home. If you dont mind naweza kuitafuta sehemu ya kukuficha kwa muda huo mpaka suspension itakapomalizika unarejea shule bila Bi mkubwa kujua kuwa ulisimamishwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom