Bieng in love?...... to me is when am in love with you, Yes, you my darling shem!!!
Sijasoma kabisa huu uzi
Halafu ni shem wako
Being in love with your in law
Bieng in love?...... to me is when am in love with you, Yes, you my darling shem!!!
Thank you
Yaani it happen unaposikia au unapokuwa mbali nae au unaposikia lolote kumhusu moyo unakuruka kwa sababu unampenda
So to say it again nampenda na nitampenda as long as maisha ninayo
Huna raha usipomuona mda mrefu hasa kama hujui ni wakati gani utamuona Maana the good thing ya kujua wakati gani utamuona hata kama hayupo ni kwamba at least you have days/hours/minutes to count ukimsubiria kwa hamu na uvumilivu ..
Alafu R' unajua hujaniambia ni nani?? Is it wifi yangu?? maana haya mambo ya assumption sio kabisa!
Wivu!......... Yaani nikiona janaumenisilolijua linaongea na mai waifu wangu, karoho kananiuma kweli! Yaani nataka awe anaongea na mimi tu! Ndo maana huwa siendagi kazini kwake kumtembelea nahisi ntamharibia kibarua chake....... kulaaaaleki wallah!Shem naomba niongezee dalili nyingine za kua in love... (ukikazana na hii habari utafanya hommie asiwe anakubali vile ambavo tupo close and free)
Fidel80 Umeoa?? (please say NO!) Dah!
Mhhhhh.....lol...back in the days acha tuI see you see what i mean.... Who was the Lucky Lady....lol (sijui niseme unnlucky maana PA mmmh!)
Hamna banaa.......PA sometime inabidi ufukie mashimo na kukubaliana na hali halisi
Maana huwezi kupigana na wakati every time
We tatizo unapenda wengi na hutaki kuushinda moyo wako kusema kuwa huyu ndo ninayempenda kwa dhati
Wivu!......... Yaani nikiona janaumenisilolijua linaongea na mai waifu wangu, karoho kananiuma kweli! Yaani nataka awe anaongea na mimi tu! Ndo maana huwa siendagi kazini kwake kumtembelea nahisi ntamharibia kibarua chake....... kulaaaaleki wallah!
Love is honesty, being faithful, and trusting them to go the same, these are 3 main things at least, Love is not an emotion it only works the emotions. That's how it tricks you. Its harder to love someone than you think as well. Somethings can be forgiven, some cant.PA sometime inabidi ufukie mashimo na kukubaliana na hali halisi
Maana huwezi kupigana na wakati every time
We tatizo unapenda wengi na hutaki kuushinda moyo wako kusema kuwa huyu ndo ninayempenda kwa dhati