Ngoswe11
Member
- Nov 19, 2010
- 87
- 24
Wapendwa wana JF,
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitabika na hii kitu. Mara nyingi niwapo katika mizunguko yangu nikikutana na mdada yeyote yule aliyejazia jazia hamasa yangu kubwa huwa kumuangalia sehemu za nyuma ya makalio yake, na kama anatembea huku akitingisha basi mie huwa nasu-uzika roho yangu ile mbaya!
Kifupi navutiwa sana na wadada wenye mjengo/kaushungi kwa nyuma hasa coursework ya kuanzia 30 hadi 40. Swali:-
1. Ni mimi tu peke yangu ndio zuzu wa hali hiyo au tupo wengi tunapenda mizigo kama hiyo?
2. Je wadada wenye makalio makubwa wanatambua kuwa wanaume wengi wanapenda bunyanga kama hizo/ I mean hizo corse work za 30 to 40?
3. Nifanye nini ili niache kuwatamani wadada wenye makalio makubwa? Yaani every day naona huo ndio kama ugonjwa wangu.
NB: Naomba ushauri plse wakuu wote help me.
Asanteni.
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitabika na hii kitu. Mara nyingi niwapo katika mizunguko yangu nikikutana na mdada yeyote yule aliyejazia jazia hamasa yangu kubwa huwa kumuangalia sehemu za nyuma ya makalio yake, na kama anatembea huku akitingisha basi mie huwa nasu-uzika roho yangu ile mbaya!
Kifupi navutiwa sana na wadada wenye mjengo/kaushungi kwa nyuma hasa coursework ya kuanzia 30 hadi 40. Swali:-
1. Ni mimi tu peke yangu ndio zuzu wa hali hiyo au tupo wengi tunapenda mizigo kama hiyo?
2. Je wadada wenye makalio makubwa wanatambua kuwa wanaume wengi wanapenda bunyanga kama hizo/ I mean hizo corse work za 30 to 40?
3. Nifanye nini ili niache kuwatamani wadada wenye makalio makubwa? Yaani every day naona huo ndio kama ugonjwa wangu.
NB: Naomba ushauri plse wakuu wote help me.
Asanteni.