mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
walimu oyeee
Na hii ya kukimbia vikao vya bunge ambavyo anawajibika na kwenda huko kwenye biashara zake za unga, jamani wanachopata bungeni hakiwatoshi? Tambaa mbele bila kujua mauti ikikufika in sanda pekee unateremka nayo, mengine ni pata potea. Bora kujiishia na ya muhimu kwa maisha yangu na familia yananitosha.
Mkuu Sangarara, nimekusikia, ila pia its a respetable professional mpaka kuna watu wanajipatia ajira rasmi tena very decent jobs kwa ajili hiyo!.
Hivi una taarifa enzi za vita kuu ya pili wanawake walikuwa hawaajiriwi jeshini, ilibidi hao wenye kazi hizo kukusanywa na nguvu na kupelekwa vitani kwa title za 'confort ladies"!. Baada ya kusainiwa The Universal Declaration of Human Right, 1948, ndipo kuwalazimisha wadada kutoa huduma hizo kukasitishwa na majeshi wakaamriwa wawaajiri rasmi kama askari wa kike!. Find out kwenye military book, hawa wadada wakisha ajiriwa ni lazima kwanza watumike kwa miaka mingapi ndipo waruhusiwe kuolewa!.
Kiukweli, kwenye biashara hii lawama na shutuma zote zinaelekezwa tuu kwa hawa wadada, lakini there are are customers ambao siku zote hawatajwi kabisa!. Biashara ipo na inashamiri kwa sababu wateja wapo na wanashamiri, cha ajabu, wanasumbuliwa tuu wadada, wateja wako ok!.
Tafuta uzi wangu kuhusu wabunge wapya wa viti maalum, wengi wamekuwa wakipata nafasi hizo kwa sifa kuu ya uwezo wa kutoa huduma hizo za kibinaadamu, na kuna wengine, amini usiamini, tangu wameingia bungeni, hawajawahi kuuliza swali wala kuchangia hoja yoyote!, wao ni huduma tuu!, angalau kuna baadhi yao ofcourse huduma lazima watoe, ila angalau hijitutumua kuuliza hata vijiswali na kuchangia vijimichango kwenye baadhi ya hoja!.
Pia tunatatizo kubwa la double standards humu, wakifanya biashara hiyo, nameless dada zetu ndio watajwe, wakifanya waheshimiwa...no wasitajwe tunawaheshimu sana!, tena mna bahati, ningeweza kumwaga humu listi ya mpaka mawaziri waliowahi!.
Yule mwingine alikamatwa na mataulo ya gesti, huyu na madawa,,, ni upepo tu utapita.
Linapokuja suala la kutetea maovu ya viongozi wa CCM humu JF huwa kuna watu wanavua utu wao na kujifanya wanyama.Usimsingizie mbunge, Sheria zetu za jinai ni "aliyekutwa na ngozi, ndiye aliye iba ng'ombe!". Kosa la ndugu unamhusisha vipi Mhe. Mbunge?.
Nimjuavyo mheshimiwa huyo alikuwa akijihusisha na ile " professional" enzi zile mama yake akiwa mbunge!.
Mkuu Pasco huna hata huruma, yaani unapiga mpaka chini ya mkanda!!!!!!!!!!!
Kweli Nchi hii hatari sana, Dada wa Mbunge kakamatwa na madawa ya kulevya kwa hiyo? aandikwe aliyekamtwa ni nani, anaitwa nani na amekamatwaje na uhisiano wake na mbune au yeyote yule uje pale unapotaka kumuelezea mwenye tukio, ilivyoandikwa utafikiri Mbunge ndiye aliyekamatwa na madawa ya kulevya
View attachment 60867 ccm will never get a perfect leader!!!!
Prostitution? Then where is maadili ya viongozi wa umma in this stunk land?
Sasa huyu naye ni nani mkuu?View attachment 60867 ccm will never get a perfect leader!!!!
Ngandema Bwila ndo waheshimiwa wenyewe hao wakuchonga.Sasa huyu naye ni nani mkuu?