Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
kwenye nywele askofu kakobè kapiga kelele kuhusu mawigi watu wamepuzia.Haya sasa.
Alikuwa anamsema Makinda
kwenye nywele askofu kakobè kapiga kelele kuhusu mawigi watu wamepuzia.Haya sasa.
Wewe utakuwa sio wa bandia maana mashairi uliyoweka hapa si ya bandia!
Wasi wasi wote wa nini, ngoja niseme ukweli,
mwili wangu mzuri, kila vazi linakubali,
uzuri wangu wa kuzaliwa, maringo kwetu kawaida.
Nikitembea mtakubali, nikicheka mtakubali,
Nikiimba mtazimia eeeh wazi wazi.
Hamuwezi kunyamaza eeh, hamuwezi kunyamaza eeeh,
Hamuwezi kunyamaza eeeh, mpaka mseme kila sikuuuu.
ID- BandiaWewe mbona unatumia ID bandia??
na mshedede siku hizi wanayotumia ya bandia
mimi original kama unavonionaHata Smile ni BANDIA........
mimi original kama unavoniona
Avatar yako imesadifu maudhui ya huu ujumbeSi ndio mnavyotaka, vizuri vizuri tu. Mwanamke akiwa ana mapungufu fulani ya uzuri basi mnaanza kuangaza kwengine sasa hii ni kuwasaidia mpate everything under one roof.
aisee inaonekana umemkamata huyu 100%Wewe mbona unatumia ID bandia??
mimba bandia