Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake wanapenda sana vitu vya bure!!!!!!!yuko tayari "atafunwa" kwa kununuliwa lunch, kwa hili la lift ndio kabisaaaaaaaa...wengi hujikuta wameshaliwa bila kutongozwa!
Hv inakuweje we Dada,Umesimama kituoni, Mwanaume nasimamisha Gari from no where, nakupigisha story 2 3 mwisho wa siku unaishia kuingia garini as a lift
Msinibishie coz nshawapa lift wa Dada zaid ya 10 Kwa style hiyo hiyo.....
Hahahaha aisee Preta umenikumbusha mbali sana lol......mie pia nashangaa wakisema wadada wanapenda lift khaaa.....ni mwendawazimu peke ake ndie anaweza kukubali lift ya mtu asiyemjua......waje Yaeda kweli waone vile wadada ukijifanya tu kusimamisha gari wanavyotoka mbio lol......huko wanakokubali hakuna wafuga kobe ndio maana!
My Dear Graca, ahsante kwa huu ushuhuda. We hujawahi kudhurika na huu ugonjwa?kweli bwna, kuna mmoja tupo nae alishamegwa kwa lifti dah mbaya sana sana. hata sijui shida ni nni.
unaingia unakaa kwenye siti hujiulizi wamekaa wangapi na akikushusha ww atampakia nani.
I like this post.Gari ni PUSSY Magnet....
Wajukuu ni MALI ya BABU!Babu Asprin kwa hiyo ukitupa lift wajukuu tutoke nduki?
hubby inaonyesha una experince na lifts! morning hubby!Amin Amin nakuambia mwaJ, Mwanamke akiona mwanaume anaendesha gari hata kama ni DFP, SU, STK akapewa lift akakubali.......... Ni uamuzi tu wa dereva akafanye naye nini?
Wanawake wengi wamelogewa GARI!! Period!!
jaribu kutoa lift Yaeda uone ka kuna mtu atapanda......nani wa kunyonyesha kobe......
Amin Amin nakuambia mwaJ, Mwanamke akiona mwanaume anaendesha gari hata kama ni DFP, SU, STK akapewa lift akakubali.......... Ni uamuzi tu wa dereva akafanye naye nini?
Wanawake wengi wamelogewa GARI!! Period!!
Nadhani ungepitia mabandiko yangu ungenielewa. Ukisoma vizuri hapo kwenye red utajua sikumaanisha wote.Usifanye hitimisho kwa wanawake wote. Mbona hata mimi natoa lift kwa wanaume ina maana wamelogezewa gari? Acha imani potofu zisizokuwa na ukweli ndani yake. Unajua kutoa lift ni hiari? Once unampa mtu lifti halafu unaanza kumnanga ndiyo nini? Magari yenyewe makaburi hayo! kha!
Amin Amin nakuambia mwaJ, Mwanamke akiona mwanaume anaendesha gari hata kama ni DFP, SU, STK akapewa lift akakubali.......... Ni uamuzi tu wa dereva akafanye naye nini?
Wanawake wengi wamelogewa GARI!! Period!!
Mshiki hebu soma vizuri hapo kwa red
Kifupi ukipewa lift na usiyemjua afu ukakubali.......... iwe Yaeda, Ngaramtoni, Machame, Kinondoni au Mwanza.... Kishaliwa huyo!
Ni sawa na mhudumu wa Bar anapompa mlevi namba yake ya simu, ujue kishakubali kumvulia pichu.
Umeona eh?kweli bwna, kuna mmoja tupo nae alishamegwa kwa lifti dah mbaya sana sana. hata sijui shida ni nni.
unaingia unakaa kwenye siti hujiulizi wamekaa wangapi na akikushusha ww atampakia nani.