Na baada ya kuwapa lift? Hebu malizia stori bana. Najua watabisha lakini huo ndio ukweli halisiHv inakuweje we Dada,Umesimama kituoni, Mwanaume nasimamisha Gari from no where, nakupigisha story 2 3 mwisho wa siku unaishia kuingia garini as a lift
Msinibishie coz nshawapa lift wa Dada zaid ya 10 Kwa style hiyo hiyo.....
Amin Amin nakuambia mwaJ, Mwanamke akiona mwanaume anaendesha gari hata kama ni DFP, SU, STK akapewa lift akakubali.......... Ni uamuzi tu wa dereva akafanye naye nini?Kwani hao uliowapa lift wapo humu mpaka unasema wasikubishie? Kwanza wewe unawapigia story za nini kama hupendi wapande lift yako?
Amin Amin nakuambia mwaJ, Mwanamke akiona mwanaume anaendesha gari hata kama ni DFP, SU, STK akapewa lift akakubali.......... Ni uamuzi tu wa dereva akafanye naye nini?
Wanawake wengi wamelogewa GARI!! Period!!
Mshiki hebu soma vizuri hapo kwa redjaribu kutoa lift Yaeda uone ka kuna mtu atapanda......nani wa kunyonyesha kobe......
Amin Amin nakuambia mwaJ, Mwanamke akiona mwanaume anaendesha gari hata kama ni DFP, SU, STK akapewa lift akakubali.......... Ni uamuzi tu wa dereva akafanye naye nini?
Wanawake wengi wamelogewa GARI!! Period!!
Hv inakuweje we Dada,Umesimama kituoni, Mwanaume nasimamisha Gari from no where, nakupigisha story 2 3 mwisho wa siku unaishia kuingia garini as a lift
Msinibishie coz nshawapa lift wa Dada zaid ya 10 Kwa style hiyo hiyo.....
Wanawake wanapenda sana vitu vya bure!!!!!!!yuko tayari "atafunwa" kwa kununuliwa lunch, kwa hili la lift ndio kabisaaaaaaaa...wengi hujikuta wameshaliwa bila kutongozwa!
Hujakatazwa kuwaita wanaume masarawale.Mbona tunawapa lift na hatuwasimangi...
Hujakatazwa kuwadharau. Hebu watupiemo neno moja la zarau nikupigie makofi...Hata wanaume wapo wengi tu wapendao vitu vya bure, mbona hatuwasimangi na kuwadharau? Hebu acheni kudharau wanawake. Kuna wanaume ambao kila kitu kibaya kwao kinafanywa na mwanamke! Acheni hizoo!
Usimchenge mchezo? Yani umuache tu akufumanie wakati unaingia gesht haush?Kwa hiyo, ulikuwa unasimamisha gari na kutoa macheno kadhaa ili wakatae???
Uba.zazi jamani ni mzigo, ni sawa na kuoa afu unamchenga mkeo
Usimchenge mchezo? Yani umuache tu akufumanie wakati unaingia gesht haush?
Mkuu, leo tunawajadili kina dada. Kikishaeleweka, mtoa mada ataanzisha ya kina kaka. Asipoanzisha ntaanzisha mimi.Mimi nimeshawapa lift hata wanaume sio kina Dada pekee. Sidhani kama kuna tatizo hapo
Afu Kongosho and co. Msisahau hii sredi inawahusu kina dada, siyo WANAWAKE. Ni kama vile ilivyo tofauti kati ya wavulana na WANAUME. Haya punguzeni munkari tuendelee kuchangia hoja.
Afu leo Jumangapi? Hizi bia unataka nizimalize peke yangu?Ujue nilisahau.
Ngoja niende chit chat nikatoe munkari, kumbe mie Bi. kidude
Hv inakuweje we
Dada,Umesimama kituoni, Mwanaume nasimamisha Gari from no where,
nakupigisha story 2 3 mwisho wa siku unaishia kuingia garini as a lift
Msinibishie coz nshawapa lift wa Dada zaid ya 10 Kwa style hiyo
hiyo.....