Dada Zetu na Lift

Bramo

JF-Expert Member
Oct 21, 2009
13,160
10,007
Hv inakuweje we Dada,Umesimama kituoni, Mwanaume nasimamisha Gari from no where, nakupigisha story 2 3 mwisho wa siku unaishia kuingia garini as a lift
Msinibishie coz nshawapa lift wa Dada zaid ya 10 Kwa style hiyo hiyo.....
 
Kwani hao uliowapa lift wapo humu mpaka unasema wasikubishie? Kwanza wewe unawapigia story za nini kama hupendi wapande lift yako?
Amin Amin nakuambia mwaJ, Mwanamke akiona mwanaume anaendesha gari hata kama ni DFP, SU, STK akapewa lift akakubali.......... Ni uamuzi tu wa dereva akafanye naye nini?

Wanawake wengi wamelogewa GARI!! Period!!
 
Last edited by a moderator:
jaribu kutoa lift Yaeda uone ka kuna mtu atapanda......nani wa kunyonyesha kobe......
Mshiki hebu soma vizuri hapo kwa red

Amin Amin nakuambia mwaJ, Mwanamke akiona mwanaume anaendesha gari hata kama ni DFP, SU, STK akapewa lift akakubali.......... Ni uamuzi tu wa dereva akafanye naye nini?

Wanawake wengi wamelogewa GARI!! Period!!

Kifupi ukipewa lift na usiyemjua afu ukakubali.......... iwe Yaeda, Ngaramtoni, Machame, Kinondoni au Mwanza.... Kishaliwa huyo!

Ni sawa na mhudumu wa Bar anapompa mlevi namba yake ya simu, ujue kishakubali kumvulia pichu.
 
Wanawake wanapenda sana vitu vya bure!!!!!!!yuko tayari "atafunwa" kwa kununuliwa lunch, kwa hili la lift ndio kabisaaaaaaaa...wengi hujikuta wameshaliwa bila kutongozwa!
 
Mkuu unalazimisha wasibishe wakati hujawapa lift wanawake wote watz!
Hebu wape nafasi watoe maoni yao!


Hv inakuweje we Dada,Umesimama kituoni, Mwanaume nasimamisha Gari from no where, nakupigisha story 2 3 mwisho wa siku unaishia kuingia garini as a lift
Msinibishie coz nshawapa lift wa Dada zaid ya 10 Kwa style hiyo hiyo.....
 
Wanawake wanapenda sana vitu vya bure!!!!!!!yuko tayari "atafunwa" kwa kununuliwa lunch, kwa hili la lift ndio kabisaaaaaaaa...wengi hujikuta wameshaliwa bila kutongozwa!

Hata wanaume wapo wengi tu wapendao vitu vya bure, mbona hatuwasimangi na kuwadharau? Hebu acheni kudharau wanawake. Kuna wanaume ambao kila kitu kibaya kwao kinafanywa na mwanamke! Acheni hizoo!
 
Mbona tunawapa lift na hatuwasimangi...
Hujakatazwa kuwaita wanaume masarawale.

Hata wanaume wapo wengi tu wapendao vitu vya bure, mbona hatuwasimangi na kuwadharau? Hebu acheni kudharau wanawake. Kuna wanaume ambao kila kitu kibaya kwao kinafanywa na mwanamke! Acheni hizoo!
Hujakatazwa kuwadharau. Hebu watupiemo neno moja la zarau nikupigie makofi...

Kwa hiyo, ulikuwa unasimamisha gari na kutoa macheno kadhaa ili wakatae???

Uba.zazi jamani ni mzigo, ni sawa na kuoa afu unamchenga mkeo
Usimchenge mchezo? Yani umuache tu akufumanie wakati unaingia gesht haush?
 
Mimi nimeshawapa lift hata wanaume sio kina Dada pekee. Sidhani kama kuna tatizo hapo
Mkuu, leo tunawajadili kina dada. Kikishaeleweka, mtoa mada ataanzisha ya kina kaka. Asipoanzisha ntaanzisha mimi.

Afu Kongosho and co. Msisahau hii sredi inawahusu kina dada, siyo WANAWAKE. Ni kama vile ilivyo tofauti kati ya wavulana na WANAUME. Haya punguzeni munkari tuendelee kuchangia hoja.
 
Last edited by a moderator:
Ujue nilisahau.

Ngoja niende chit chat nikatoe munkari, kumbe mie Bi. kidude

Afu Kongosho and co. Msisahau hii sredi inawahusu kina dada, siyo WANAWAKE. Ni kama vile ilivyo tofauti kati ya wavulana na WANAUME. Haya punguzeni munkari tuendelee kuchangia hoja.
 
Hv inakuweje we
Dada,Umesimama kituoni, Mwanaume nasimamisha Gari from no where,
nakupigisha story 2 3 mwisho wa siku unaishia kuingia garini as a lift
Msinibishie coz nshawapa lift wa Dada zaid ya 10 Kwa style hiyo
hiyo.....

sa unatakaje!wakatae au!
 
Back
Top Bottom