Kwa hiyo? Mbona inasemwa kuwa hiyo ni suunna?Tafadhali bwana! dubai ni nchi ya kiislam
Duuuuuh kama ni kweli namhurumia sana rafiki yangu mmoja ana mkewe kajazia kweli, daily wife wake ni CHINA/FAR EAST/DUBAIDubai ni masaburi ndio soko kuu kama mke,demu wako...anaenda uko check mtaji na mzigo mwambie aweke kwenye spreesheet then angalia salio alio nalo..utakuta ana kiwango kikubwa cha pesa kuliko alicho kwenda nacho sasa anakwenda kufanya biashara uko au kununua mzigo na kuja kuuza bongo...nasiki per night 500 Dollar.Masaburi.
what kajazia?? Hebu ni pm namba ya mke wa huyo jamaa yako teh teh tehduuuuuh kama ni kweli namhurumia sana rafiki yangu mmoja ana mkewe kajazia kweli, daily wife wake ni china/far east/dubai
Jackbaurer, biashara ya Dada zetu kule, ni ile ile the "oldest profession", kule inalipa sana haswa kwa ngozi nyeusi.wakuu hivi dada zetu wanatumia mbinu gani kufanikiwa katika biashara zao wanazofanya huko Dubai?
Heh heh biashara ya bata ndio inayolipa du umenivunja mbavu hao ni bata wapi ,bata mzinga au wale wa uswazi ambao wanakula takatakabiashara ya bata inalipa sana huko
Halafu waisilamu wa Dar wanajidai kumpinga David Cameroon !Tafadhali bwana! dubai ni nchi ya kiislam
@Buswelu, ntakuwa sikusimulii, prince of the darkness wewe, chezeya binti mfalme. ha ha ha ha
Nimeshakuspoti
Wanaume wa kiafrika wanavyodharau wanawake utadhani hawakubebwa miezi tisa na mwanamke.
Lakini hii yote ni inferiority complex,mtu hataki kukubali nafsini mwake kama mwanamke ana maendeleo katika jambo analolifanya kumzidi yeye, hivyo anaona bora
ajifariji oo sijui anauza nini,
wanaume wenye kujiamini na wenye amani na maisha yao huwa wako very supportive.
Jifunze kujiamini .