GITWA
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,489
- 1,687
Ukiwauliza dada zetu wangependa kuolewa na mwanamme wa aina gani? Wengi watakujibu kuwa wanapenda mwanamme mwenye msimamo thabiti kwenye maamuzi yake. Lakini cha kushangaza ni kuwa pindi wanapoolewa hujitahidi kuwatoa waume zao kwenye misimamo yao.
- Kinachonishangaza ni kwa nini hawawapendi wanaume wasio na msimamo ili wapate kuwageuza wapendavyo? Maana pindi wanapoolewa na wenye msimamo na kuanza jitihada za kuwabadili hapo ndipo migogoro ya ndoa inapoanza.