AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
Dada zetu twawapenda, Bila ninyi tunakonda,
Kila siku zikienda, twajuta tunayotenda,
Msiache kutupenda, twapenda mnavyopenda,
Dada zetu mna mambo, mambo yenye vijimambo!
Vidole vinaniuma, kalamu naiachia,
Nililotaka kusema, hilo nimewaambia,
Hivyo kutama natama, miye nawabarikia,
Dada zetu mna mambo, mambo yenye vijimambo!
Na. M. M. Mwanakijiji (Sauti ya Kijiji)
Most wafikiri vita vya chini chini vya akina dada/mama vimeanza karibuni
it has always been so... ila sasa wamejiachia.... For zamani ilikua kwenye magoti
ya mama, majikoni, Vyumbani, majukaani.... tofauti tu it is in the open now...
thou kidogo nimeelezea out to context....
Tunashukuru utambuzi wako wa uwepo wetu.... Beautifully written.