Dada zetu (Mamiss & Wanamziki) na Vibabu

Status
Not open for further replies.

Kajuni

JF-Expert Member
May 27, 2009
486
186
List ni ndefu kama kuna mwenye data anaweza mwanga hapa:
  1. Jacqline Vs Reginald M
  2. Rita Paulsen Vs Reginald M
  3. Mwanvita Makamba Vs............
  4. ..........................................
  5. ............................................
  6. .......................................... etc etc
Hivi sababu ni nini?
 
Sababu ni wao wanapenda.

Sasa unachotaka kuonyesha hapo ni nini?
Inakuhusu?Inanihusu?Kuna mtu humu inamhusu?

Leta data zako wewe tukujadili achana na maisha ya watu.
 
Mbona LIZZY umekuwa mkali au nawe ni wale wale? una kibabu nini?
 
listi ya watu wawili ndo ndefu? huo uzushi otherwise endelea kama wewe mwanaume
 
Maisha ni kuchagua. hatutarajiwi kufanana...we unafikiri Jackline kawa na wangapi na kwanini kaamua sasa kutulia na Mzee Mengi??

Mimi nikipata kibabu changu tukapendana na kuelewana, mie huyoooo wala sichagui cha kizungu au kiafrika....lol
 
Maisha ni kuchagua. hatutarajiwi kufanana...we unafikiri Jackline kawa na wangapi na kwanini kaamua sasa kutulia na Mzee Mengi??

Mimi nikipata kibabu changu tukapendana na kuelewana, mie huyoooo wala sichagui cha kizungu au kiafrika....lol

Hashy should read this.....
 
sababu wanazijua wao..
to be honest is none of our business.....

My dear, it is our business oooh,hujaona Mange Kimambi alivyokuwa insipirational?? Siku hizi vibabu vingine hata kutemembea haviwezi ,watu tumo tu....lol...kaaaaazi kweli kweli....wanasema if you do not stand for something you will fall for anything....!!
 
My dear, it is our business oooh,hujaona Mange Kimambi alivyokuwa insipirational?? Siku hizi vibabu vingine hata kutemembea haviwezi ,watu tumo tu....lol...kaaaaazi kweli kweli....wanasema if you do not stand for something you will fall for anything....!!

Inspirational for what exactly ...??
 
Marrying a white man, create a blog and advertise how happily ever after they live.....!!

hahahahahahahah lol... tell you what Lizzy (yap DOTO) has a better I mean way better blog than Manges..
Marrying to a white man.. WTF?? anyway I hardly go in her blog.. Full of crap to be honest..
 
hahahahahahahah lol... tell you what Lizzy (yap DOTO) has a better I mean way better blog than Manges..
Marrying to a white man.. WTF?? anyway I hardly go in her blog.. Full of crap to be honest..

Please give me Lizzy's blog nikashinde huko kwa wenye akili.....unajua AD sometimes, mimi kama mtaalamu wa masuala ya jamii,nafanya utafiti kujua akili na attitude za watu wa kundi fulani likoje na mwelekeo ni upi na kama ni wa manufaa,mzuri au mbaya...sasa hizi blog zinanipa taarifa nyingi sana...and its interesting kwa kweli....kuna baadhi ya watu hata umalaya ni kitu kizuri as long as fulani alifanya na kwa muelekeo wa picha na maneno yake amefanikiwa..!
 
Please give me Lizzy's blog nikashinde huko kwa wenye akili.....unajua AD sometimes, mimi kama mtaalamu wa masuala ya jamii,nafanya utafiti kujua akili na attitude za watu wa kundi fulani likoje na mwelekeo ni upi na kama ni wa manufaa,mzuri au mbaya...sasa hizi blog zinanipa taarifa nyingi sana...and its interesting kwa kweli....kuna baadhi ya watu hata umalaya ni kitu kizuri as long as fulani alifanya na kwa muelekeo wa picha na maneno yake amefanikiwa..!

Anyway I guess your right...
yaani niko tayari ku sapport mtu malaya kuliko mtu mwenye "Madharau" ya hali ya juu..
mtu ambae anatukana waafrica wenzake walio njee.. sababu tu anajiona yeye bora.. Labda niliingia kwenye hiyo blog siku mbaya
na sjarudi tena.. ..

anyway blog ya Lizzy hii hapa..
alitolewa hata kwenye MIchuzi blogsport..

WWW.MALKIASUN.BLOGSPOT.com
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom