Tangopori
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 1,629
- 1,282
Kweli hawa vijana wana kazi sana jana nimemuona mdada anaoshwa kucha na jamaa mmoja huku akiwa kavaa kimini isitoshe anajiachia kabisa kwa kupanua miguu dah! Nikajisemea moyoni kweli hawa wajamaa wana kazi nzito!
Waoneeni huruma jamani nao wanatafuta riziki!
Ni hayo tu!
Waoneeni huruma jamani nao wanatafuta riziki!
Ni hayo tu!