Kujisimamia kama mwanaume ni tofauti na upole. Nani kasema upole ni ujinga? Mwanaume anapaswa kutoshobokea maugomvi yasiyo na maana. Ila siku akipandisha sauti inapaswa kushtua watu. Sio ati ugomvi hata wa kusutana anaendekeza. Mwanaume anapaswa kuwa kimya ila uanaume wake ukidhalilishwa ama memsahib akidhalilishwa ndo aingilie kati.
haha preta,kule mwanamke bila kudundwa dundwa anaweza akamwacha mume, lakini kama kila siku unamtwanga mi ngumi huyo lazima akusifie kuwa unampenda.
Nyie tuchagueni tu hamjui hizo ni tabia za nje tu (watu wanavaaga ngozi za kondoo)...kugombana si mpaka uchokozwe bana...nani kasema mwanamume mpole hapigani?..mchukulie demu wake ndio ujue nguvu zake...By the way Preta naomba nikuwe mpenzi wako??...mimi ndiye yule Francis Cheka Bingwa wa UBO,WBA na WBF..umekubali eeh??..hapa ngumi jiwe!
haha preta,kule mwanamke bila kudundwa dundwa anaweza akamwacha mume, lakini kama kila siku unamtwanga mi ngumi huyo lazima akusifie kuwa unampenda.
Nyie tuchagueni tu hamjui hizo ni tabia za nje tu (watu wanavaaga ngozi za kondoo)...kugombana si mpaka uchokozwe bana...nani kasema mwanamume mpole hapigani?..mchukulie demu wake ndio ujue nguvu zake...By the way Preta naomba nikuwe mpenzi wako??...mimi ndiye yule Francis Cheka Bingwa wa UBO,WBA na WBF..umekubali eeh??..hapa ngumi jiwe!
Upole na ujinga ni vitu viwili tofauti, tena hamna mtu mwenye hasira mbaya kama mtu mpole, ukimchokoza mpaka ukafikia point ya kumuudhi utakiona cha mtema kuni.
Na wapo wanaume ambao wana nguvu nyingi tuu, lakini ni wapole........ ukiwatibua ndo utajua nguvu zao, so kuwa mpole haimaanishi hana nguvu za kukulinda na majambazi mkivamiwa
Na pia wapo wanaume ambao ni wakorofi sana tuu, lakini hawana nguvu kiasi hicho........
Anyways, mimi naamini mwanamke hapigwi, i do not know if that makes me mpole au mjinga, lakini siamini katika kumpiga mwanamke na huwa nashangaa sana wanaume wenzangu wanaopiga wanawake
Mi napenda mwanamme mpole anaejiamini na cyo janadume babe ambye kila m2 nkipta linamuogopa,hee c ntakmbiwa na wa2 njian, na ata salam ntakuwa cpewi.ictoshe ata kwng wa2 wataogopa kuja kisa "hee mumeo mkali,mumeo mi mwili wke 2 unantsha,ah mumeo bwana we acha 2" aaahh anakua km ki2ko loh!
Mimi je??Mi napenda mwanamme mpole anaejiamini na cyo janadume babe ambye kila m2 nkipta linamuogopa,hee c ntakmbiwa na wa2 njian, na ata salam ntakuwa cpewi.ictoshe ata kwng wa2 wataogopa kuja kisa "hee mumeo mkali,mumeo mi mwili wke 2 unantsha,ah mumeo bwana we acha 2" aaahh anakua km ki2ko loh!
Mimi je??
('.')
<))>
_/\_
wee kweli unatoa supu ya kutosha wewe??
Kiuno kimeingia ndani hivyo?
Mmmmh, na wasi wasi aisee.
mi napenda huyo wa aina ya pili....akinikata mtama.....na mimi namshukia na kichwa.....ngoma inakuwa droo.....mwanaume mpole nitamzaba makofi......
sio anipige....akinipiga huo ni mjadala mwingine......mi napenda mwanaume mwenyewe nikimwangalia nasema.....yes....hapa nina kidume.....sio napita nae watu wananichokoza ananyamaza......