Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbuzi Mzee kila ukiweka picha huwa siwezi kuziona
au kunywea chumbani nakupanda kitandani kama mimi
nimeandika hiyo koment alafu nikajicheka sana mkuu yaani mimi ni mjinga sana,hubby hajawahi lamba alkohl ila alinikuta napiga nikaacha aliponiambia niache ,siku hizi ananinunulia wine dozen ,sasa leo asubuhi ananiambia hii 14%le,18%UKINYWA MARUFUKU KUTOKA HME KUNYWA PANDA KITANDANI NILICHEKA SANA SANA SIKUJUA KAWAZA NINI KWA KWELIKwei kabisa
.nimeandika hiyo koment alafu nikajicheka sana mkuu yaani mimi ni mjinga sana,hubby hajawahi lamba alkohl ila alinikuta napiga nikaacha aliponiambia niache ,siku hizi ananinunulia wine dozen ,sasa leo asubuhi ananiambia hii 14%le,18%UKINYWA MARUFUKU KUTOKA HME KUNYWA PANDA KITANDANI NILICHEKA SANA SANA SIKUJUA KAWAZA NINI KWA KWELI
Hapo laini zote za 0713 & 0754 zipo hewani zinapatikana bila wasiwasi. Halafu bila shaka mpiga picha anajua aliyemfungua zipu.
Huyu hakapendi hako kamji kake mashuhuri. waharibifu wanaweza kukisambaratisha kwa mpigo kwa ulevi wa aina hiyo
ubwwwwetteeeeeeee kama unataka kumpita Twite...............