Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Pole kaka,endelea kuishinda tamaa,mface huyo bint na umwambie hupendi hiyo tabia na ww ni kaka yake,achana na mawazo ya kingono ngono.
Umbatue??? Ndicho anachokitaka au umemtafsiri ndivyo sivyo?
uwezekano wa kukamua upo. lakini sasa ninachokijali zaidi ni urafiki wetu na jamaa myangu. akisikia itakuwaje?
Umbatue??? Ndicho anachokitaka au umemtafsiri ndivyo sivyo?
Ha Ha ha haaaaaaahili jamaa limejaa ukame tu.. Na huenda miaka yote hii 12 hujagonga ngozi na ulikua wamsubir huyo binti akue na uanze mtamani! Hakutegi chochote ni tamaa zako na ukame ulokuzid.. Ushaur wa mwisho..! Mpigie ''MASTA'' ila kamwe usimtongoze.. adolescent huyo
Nina rafiki yangu ambaye sasa ni kama ndugu kwa sababu nimeshikamana nae kwa takribani miaka 12 sasa. Ana dad yake (mdogo) ambaye anatumia mamna nyigni sana kunitega nimbatue. lakini ninajitahidi sana kuvumila nisitumbukie huko. lakini hali bado ni mbaya sana mitego imezidi kipimo mingine ni ya wazi. sijue nifanyeje.
Inawezekana anakupenda au anakutega ummege....Amua kuzungumza nae. Then utapata jibu kamili.... Na juwa kwamba ukimmega ukamuacha huyo friend wako akijua udugu utaishia hapo. Makaka wengi hawapendi kusikia rafiki zao wana mahusiano na wadogo zao...Tafakari bro!
Kamua bana we vipi wewe unakuwa ka sio kinega? aggggghr
Nina rafiki yangu ambaye sasa ni kama ndugu kwa sababu nimeshikamana nae kwa takribani miaka 12 sasa. Ana dad yake (mdogo) ambaye anatumia mamna nyigni sana kunitega nimbatue. lakini ninajitahidi sana kuvumila nisitumbukie huko. lakini hali bado ni mbaya sana mitego imezidi kipimo mingine ni ya wazi. sijue nifanyeje.
uwezekano wa kukamua upo. lakini sasa ninachokijali zaidi ni urafiki wetu na jamaa myangu. akisikia itakuwaje?
Ndio tafsiri pekee iliyopo?Unapomtega mtu unakua unataka ufanywe nini?