Nilikuwa nawaomba dada zetu wa sehemu zingine tanzania wathubutu kuchukua form wagombee nafasi mbalimbali kama ubunge na udiwan 2015 kwa ticket ya chadema,uongozi wachadema upo nyuma yao kuwasupport!!tujaribujamani!!kama kaskazi walivyojaribu
kaskazini kuna mdada yupi anaongoza kwa chadema zaidi ya wabunge wa viti maalum. Au sijakusoma nini?[/QUOTE]
unajibu swali then unauliza tena swali......miafrika ndivyo yulivyo by NN