Jamani hao waliochaguliwa ni wapambanaji. Sio kwamba wameokotwa nyumbani, Sofia Kawawa alikuwa mpambanaji na mumewe na wote walikuwa kwenye uongozi. Sofia alikua Mwkt wa UWT wakati mumewe akiwa Wziri mkuu, Katibu mkuu, waziri na katika nyadhifa mbali mbali. Na watu walijua Sofia alikua anapata uongozi kutokana na kujitoa kwake na sio kwa sababu ya mumewe. Mbona hamuwasemi kina Mapachu?
Hawa wa Chadema in founders na wamejitolea kijasiri wakati wengi wakiogopa kuonekana wanaipinga CCM wao walijitoa mhanga kwa hiyo huwezi kuwanyima haki yao kwa kuogopa mtaonekana kuna ukabila. Kama unataka jiunge hamasisha watu wa eneo lako halafu uone kama kuna atakaekuchakachua.
Au unataka dada yako akapewe viti maalumu wakati hata kadi ya chama hana? Waulize CUF kama wana wabunge wangapi wa viti maalumu kutoka Tanzania bara ambako mgombea uraisi wao kapata kura laki sita plus ambazo niu nyingi kuliko wapiga kura wote wa Zanzibar.
Hawa wa Chadema in founders na wamejitolea kijasiri wakati wengi wakiogopa kuonekana wanaipinga CCM wao walijitoa mhanga kwa hiyo huwezi kuwanyima haki yao kwa kuogopa mtaonekana kuna ukabila. Kama unataka jiunge hamasisha watu wa eneo lako halafu uone kama kuna atakaekuchakachua.
Au unataka dada yako akapewe viti maalumu wakati hata kadi ya chama hana? Waulize CUF kama wana wabunge wangapi wa viti maalumu kutoka Tanzania bara ambako mgombea uraisi wao kapata kura laki sita plus ambazo niu nyingi kuliko wapiga kura wote wa Zanzibar.