Habari wanajamii 'Great Thinkers' Hivi majuzi rafiki yangu aliniuliza swali ambalo binafsi nilishindwa kujibu. Najua siwezi kukosa jibu hapa. Rafiki yangu huyu anasema amekuwa akiota ana 'do' na dada zake wa damu mara kwa mara. Hajawahi kuwaza wala ku'do' nao. Hii maana yake nini wapendwa? Scientifically, ukifanyacho/ukiwazacho mchana usiku kinakutokea kwenye ndoto, narudia tena, hajawahi fanya hivyo!. Thanx.
Asante Abraham,hujakosea, ndo nilichosoma na kazi yangu ya mwanzo ilikuwa hiyo. Ni kazi ninayoipenda japo inaniumiza sana kusikia mambo watu wanayopitia na pia inanipa woga.Mpe moyo,kwa Mungu kuna majibu yote,ukumbuke hata kwenye biblia watu kama Yusuph waliota,lakini tafsiri ya ndoto inaweza kuwa kama inavyoonekana au tofauti,na asiogope,aulizane tu na Mungu wake ni nini maana ya hili.
AL,
- rafiki yako an umri gani na dada zake pia wana umri gani?
- yeye ni mtoto wa kiume pekee kwenye hiyo familia?
- rafiki yako anaishi na dada zake na wazazi wake nyumba moja?
- huwa anaota anawa-do randomly? leo asha kesho amina keshokutwa sikujua?
- rafiki yako anafanya kazi(self/employeed) au ni mwanafunzi wa sec/college?
- ki-ujumla maisha yake yakoje? outgoing au ni mtu wa kutizama tamthilia kuanzia saa 12:00 mpaka 6:00 usiku?
Ndoto zake sio nzuri kwa maisha yake - Inawezekana kabisa "mababu" zake wanamkabidhi "ulezi" kwa dada zake out of which yeye atakuwa anategmewa mpaka wajukuu wa dada zake! He will die "poor"!
AL,
- rafiki yako an umri gani na dada zake pia wana umri gani?
- yeye ni mtoto wa kiume pekee kwenye hiyo familia?
- rafiki yako anaishi na dada zake na wazazi wake nyumba moja?
- huwa anaota anawa-do randomly? leo asha kesho amina keshokutwa sikujua?
- rafiki yako anafanya kazi(self/employeed) au ni mwanafunzi wa sec/college?
- ki-ujumla maisha yake yakoje? outgoing au ni mtu wa kutizama tamthilia kuanzia saa 12:00 mpaka 6:00 usiku?
Ndoto zake sio nzuri kwa maisha yake - Inawezekana kabisa "mababu" zake wanamkabidhi "ulezi" kwa dada zake out of which yeye atakuwa anategmewa mpaka wajukuu wa dada zake! He will die "poor"!
Hilo jamaa vivu la kusaka mademu mwishowe linajikuta linawamezea mate dada zake. Mshauri achangamke aache uzembe mbona mademu wa kumwaga tu dunia hii????Habari wanajamii 'Great Thinkers' Hivi majuzi rafiki yangu aliniuliza swali ambalo binafsi nilishindwa kujibu. Najua siwezi kukosa jibu hapa. Rafiki yangu huyu anasema amekuwa akiota ana 'do' na dada zake wa damu mara kwa mara. Hajawahi kuwaza wala ku'do' nao. Hii maana yake nini wapendwa? Scientifically, ukifanyacho/ukiwazacho mchana usiku kinakutokea kwenye ndoto, narudia tena, hajawahi fanya hivyo!. Thanx.