Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,797
- 1,567
Jamani hamjambo! Mimi nilikuwa napita tu naelekea ofisini. Nitarudi baadaye nikitoka ofisini.
Ukirudi niletee pipi ya kijiti :wink2:
Jamani hamjambo! Mimi nilikuwa napita tu naelekea ofisini. Nitarudi baadaye nikitoka ofisini.
Ngoja nijaribu kumuelewa huyu..
Ana rafiki yake kipenzi (Haijajulikana ni KE/ME) ambaye walikuwa wanasoma wote mzumbe, Ikatokea dada yake anachakachuliwa na prof (Dada wa rafikie kipenzi ambaye ameolewa) Mumewe na huyu dada akashtukia ishu kuwa mkewe anachakachuliwa na prof. sasa ili dada aue soo na Mumewe asishtukie picha nzima ikabidi huyu dada ambaye anachakachuliwa na prof ambembeleze mdogo wake wa kike ili azuge kuwa yeye ndio anayechakachuliwa ili mumewe asilete soo.. na mdogo wake akakubali kuzuga na prof for the time being..kwa bahati mbaya mke wa prof akafariki na prof akaamua kugeuza trial version kuwa full vertion (akaoa kabisaaa).. na sasa ishu inaonekana kuwa prof kipato chake kiko fresh huyu dada aliempigia pande mdogo wake anaomba asaidiwe pesa na mdogo wake but mdogo wake anasema hana (japo kuwa mambo yake safi) means anaona kanyimwa tu makusudi.. hapo ndo dada yake haelewi kwa nini anyimwe pesa ? na wakati yeye ndo kapiga pande ? japo alitaka mambo yaishe tu ili waendelee na prof wake...sasa ndo anataka ushauri afanyeje ili ushauri alioombwa aufikishe kwa muhusika..
Dah! sijui ndo nimewamix zaidi lakini mie ndo nilivyoelewa mazee.. mkinielewa ntafurahi kweli maana hapa ni saa 12:43AM (usiku) na nina kama chupa mbili za castle moto zinatakiwa kwisha...
Unajua ukiitwa profesa bana, kugonga mademu free khabisa. Haijalishi ni ndugu, au hata mama na mtoto wanajileta wenyewe teh teh teeeh! Si wanafata damu, eti na wao wawe na akili kidogo. Afu waboreshe cv zao "me nishatembea na profesa, na mbunge, na baba askofu, na...." ngoja na mimi niupate huo uprof........!
ANkusubiri
Hapa kuna makosa DA....kwa watu watatu....
Bottom line ni kwamba dada mtu anakosea kujihalalishia 'mafanikio' ya mdogo wake....wasiishi kwa kuendeleza makosa yao....wayafukie futi sita chini ya ardhi...na maisha yasonge.....
- Profesa kukubali 'kula' mtu na mdogo wake....
- Dada kumkuwadia mdogo wake kwa mme wa mtu
- Mdogo mtu kukabali kukuwadiwa na dadake kwa profesa (shemeji?)
Umalaya upo kwenye familia hao
na huyo mke wa prof alikufa kwa ugonjwa gani?
Makosa tayari yamefanyika sasa mdogo mtu afanyeje? Dada kampandia juu si tu kumkasirikai na kumtukana pia
Sina kawaida ya kupost new post usiku ila hii imenibidi.
Ni hv nina rafiki yangu kipenzi wa kike tulikuwa wote mzumbe ikatokea dada yake anachakachuliwa na prof wa hapo chuo nje ya ndoa, mume wa dada yake akashitukia issue dada mtu akambembeleza mdogo mtu aokoe jahazi kuwa prf ni wake na si wa dada kakubali kwa bahati mbaya mke wa prof akafariki. Prof akaamua kuchukua jumla mdogo mtu baada ya mwaka na zaidi hv.
Sasa isue iko kwa dada mtu kaenda kumwomba mdogo mtu kiac fulani cha pesa akaambiwa hana mambo yake safi lkn dada kaja juu ugomvi na kumwambia kuwa bila mimi ungefika hapo ulipo? ni taabu kwenda mbele hawaongei kabisa ni balaa kweli kaniuliza afanyeje nimemwambia asubiri nitampa jibu kesho nisaidieni nimwambieje??
Dah nimemaliza mzumbe kitambo kipindi hicho maprofesa walikuwa wa kuhesabu sana, lazima ningejua ni nani, kwa sasa wameongezeka so siwezi jua kama ni Kikuli, Nnkya, Kamuzora, Kuzilwa na wale wa ICT kina Muna dah..... Mkanye rafiki yako kuwa maprof hapo MU wana kuwa na mwanachuo zaidi ya mmoja, na ukimwi hapo chuoni ni tishio...mwambie mdogo wake akapime kama yupo fresh aachane na huyo dingi, kwa nini awe na kizee kisa mali??
Yaani huyo mtu na mdogo wake wote 0.
Mshauri mdogo mtu awe na huruma kwa dada yake na ampatie anachokitaka kama pesa anazo maana kama ataendelea na kiburi laana itamfuata maana hakuna anayempikia chai Mungu na yeye hilo professor linaweza kumtosa kesho; sasa akasaidiwe na nani kama dada kamtukana?
Sina kawaida ya kupost new post usiku ila hii imenibidi.
Ni hv nina rafiki yangu kipenzi wa kike tulikuwa wote mzumbe ikatokea dada yake anachakachuliwa na prof wa hapo chuo nje ya ndoa, mume wa dada yake akashitukia issue dada mtu akambembeleza mdogo mtu aokoe jahazi kuwa prf ni wake na si wa dada kakubali kwa bahati mbaya mke wa prof akafariki. Prof akaamua kuchukua jumla mdogo mtu baada ya mwaka na zaidi hv.
Sasa isue iko kwa dada mtu kaenda kumwomba mdogo mtu kiac fulani cha pesa akaambiwa hana mambo yake safi lkn dada kaja juu ugomvi na kumwambia kuwa bila mimi ungefika hapo ulipo? ni taabu kwenda mbele hawaongei kabisa ni balaa kweli kaniuliza afanyeje nimemwambia asubiri nitampa jibu kesho nisaidieni nimwambieje??