Dada FaizaFoxy: Kikao cha Bunge Kinaisha lini?

Au ulikuwa unamaanisha .....CHADEMA WATAPOKEA MAWAZIRI WAWILI?







zomba a.k.a................a.k.a...........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a......
....a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a...
.......a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a
..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a
..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........Naomba jibu la swali hapo juu!

Wazo la leo:

Ukiwa mkweli huitaji kukumbuka chochote!

Hivi huwajui mpaka leo au unajifanya hayawani?
 
Utawajuwa tu, pitia pitia JF ujikumbushe.

Ahyaa Dada FaizaFoxy naushukuru wakati kwa kuwa hakimu msema kweli na mtoa haki. Nadhani kwa kauli hiyo wamaanisha mjadala umefungwa kiungwana. Au siyo?
 
Last edited by a moderator:
Ahyaa Dada FaizaFoxy naushukuru wakati kwa kuwa hakimu msema kweli na mtoa haki. Nadhani kwa kauli hiyo wamaanisha mjadala umefungwa kiungwana. Au siyo?

Nawashangaa sana ikiwa ni wasahaulifu wa ghafla, ni wangapi wameshatimuliwa Arusha toka nilete hiyo mada, ni wangapi wameshatimuliwa Makao Makuu yenu, Kinondoni?

Leo unajifanya huyajui! Wallahi unanchekesha, sana tena.

Tuliyaona yakija kabla ya wewe kufikiria.
 
Viongozi wawili wa CHADEMA, maarufu na wenye hadhi, ama wataachia ngazi wenyewe na kujiunga chama kingine ama watavuliwa madaraka kabla ya kuwachia wenyewe.Source: FaizaFoxy
Nawashangaa sana ikiwa ni wasahaulifu wa ghafla, ni wangapi wameshatimuliwa Arusha toka nilete hiyo mada, ni wangapi wameshatimuliwa Makao Makuu yenu, Kinondoni? Leo unajifanya huyajui! Wallahi unanchekesha, sana tena.
Tuliyaona yakija kabla ya wewe kufikiria.
Fatilia nyayo zangu humu JF utauona, mwingi tu. Anza.
Aahaa kumbeee! Kama ndo hao basi ni kweli FaizaFoxy ulisema......madiwani watano (5) wa Arusha waliotimuliwa, Mtela Mwampamba na Juliana Shonza ndiyo "viongozi wawili maarufu na wenye hadhi"
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom