Omutwale
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,429
- 1,045
Viongozi wawili wa CHADEMA, maarufu na wenye hadhi, ama wataachia ngazi wenyewe na kujiunga chama kingine ama watavuliwa madaraka kabla ya kuwachia wenyewe.
Anaejuwa maana haambiwi maana! Source: FaizaFoxy
Nadhani .....Narudia. Tutaona viongozi wawili maarufu ya ama wanaachia ngazi cdm ya ama wanabanduliwa magwanda......
Au ulikuwa unamaanisha .....CHADEMA WATAPOKEA MAWAZIRI WAWILI?
Katika hali ambayo ilijulikana na ambayo inaelezwa kukolezwa kwa kutokuwepo jawabu la kujivua gamba, ni wazi sasa Sitta na kundi lake katika kuwania urais mwaka 2015 wameanza harakati za kujiweka sawa na wana CDM ambao wanaamini wataweza kuwapigia upatu kujiunga na chakma hicho mwaka 2015 kama mambo hayatakuwa upande wao katika CCM..
Bado hamjakamilika, siwezi kupoteza silaha yangu bure, nawangoja mkusanyike.
zomba a.k.a................a.k.a...........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a......
....a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a...
.......a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a
..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a
..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........a.k.a..........Naomba jibu la swali hapo juu!
Wazo la leo:
Ukiwa mkweli huitaji kukumbuka chochote!