D.Cameron apakia treni kukwepa gharama!

Sio tu kupanda ndege tu hata msafara wa Prezda wa bongo kutoka magogoni kwenda kijitonyama una magari mangapi? je msafara wa huyo PM wa UK akiwa kwao wanatumia gari ngapi.Utashangaa . probability kubwa ya threat iko wapi.

Kwenye nchi zetu ni ufahari zaidi kuwa kiongozi kuliko majukumu. So most of african leaders wanafarijika zaidi.
 
Cameron (na dogo mwenzie Clegg) hajawahi kufanya kazi ktk mfumo wa utawala-kama serikalini, kitu ambacho kinawafanya wasitambue umuhimu wa "security details", jamaa wa usalama wa kwao wanawasiwasi sana na tabia yao ya "kujifanya watu wa kawaida wanaojali wananchi", bila kuzingatia taratibu za kiusalama. Cameron ameshatoka sehemu moja kwenda nyingine bila kufuata taratibu za usalama zinavyotakiwa ! Japo ni jambo jema kujali gharama, na ni mfumo wao wa siku nyingi waliojiwekea na wanautekeleza !
 
huyu Cameroon akili zake kama Pinda hivi aliyesema tusivae suti nchi masikini mara tuysipande maV8.... .Sanaa tu hizi hakuna la maana hapo
 
Huyo Kameruni aende bongo apande Reli ya Kati kwenda Dodoma wakakutanie na Mkwere kule...:bowl:
 
huyu Cameroon akili zake kama Pinda hivi aliyesema tusivae suti nchi masikini mara tuysipande maV8.... .Sanaa tu hizi hakuna la maana hapo

sanaa iko wapi?treni kapanda kweli,na imegharimu hela kidogo kuliko angepanda ndege......
 
Why should they!? They are benefiting from us na bado tunawatukuza why should they stop if we dont make a stance to make them stop! Sio makosa yao ni yakwetu.
Kuna topic ya barua ya botha 1985 kwa wenzake. Ina ukweli mtupu kuhusu fikra za wazungu kwetu. Wanachotofautiana ni degree tu ya imani hiohio ambayo king of apartheid kaisema.
By the way nimeipenda sana ile barua ya botha.

Ninachojaribu kureason hapa ni kidogo tu. Kwamba imeonekana kwamba kuna baadhi ya watu wamekipongeza kitendo kile cha huyu PM, nika-extend kusema kwamba if people like him(the PM) are really descent leader why shouldn't they help the world to develop together?? Trust me mzee when I tell u kwamba whatever they do, whichever way, they need us ALIVE. Wanahitaji tununue vitu kwao, wanahitaji nguvukazi yetu etc etc. Hakuna otpion ingine maana ndio hivo tunashare hii sayari, effect ikitokea Africa impact will be felt all around the world.
 
Mkuu Nyamgluu, habari za siku nyingi Mkuu...............

Kupanda treni kwa PM Cameron, ni ishara (kuwapa watu wake perception) tu ya PM kutaka kuoonyesha he is serious katika kukata matumizi.................haina maana ame-save pesa......pale kuna security ya US na ya kwake i.e. from UK pia..............cost ya security detail hizi mbili akiwa kule huwezi kufananisha na mtu wa kawaida kusafiri katika treni.........if you really want to compare............
 
Niko vyema mkuu ogah,asante.
Ni kweli ni ishara lakini ishara ni muhimu sana tu. Kama "vingine vyote ni sawa" kati ya kiongozi huyo na mwingine anaejirusha ni yupi una imani ana uchungu na nchi na kutaka kuonyesha mfano?
Swala ambalo sijakubaliana na mkuu hapo juu ni mentality ya kuendelea kuweka responsibility ya underdevelopment yetu kwa watu wa nje.
Niko safarini natumia cm kusurf ntakapotulia kwa pc ntajaribu kutoa hoja vyema zaidi.
 
Back
Top Bottom