Hela ya mizigo kwa walimu wapya mmepewa nyie au nani? Maana halmashauri nyingi wanasema waraka umebadiliswa hizo fedha hazipo tena! Nyie hamjatoa tamko lolote! CWT ongeeni hata kwenye midia tutawasikia. Kweli walimu wapya wanateseka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.