Kisaka80
Senior Member
- Feb 4, 2012
- 151
- 94
Mbona maelezo yako yanaji contradict yenyewe?..
Umesema pesa zimetumwa kila mikoa na kila wilaya.. Iweje tena useme "Pesa zote zinaingia kwenye matumbo ya akina Mukoba"???...
Unaonekana unatumiwa na kina naniliu!
Wasalaam.
Ninachotaka kukufahamisha ni kuwa ukiwa kiongozi lazima very strategic.....CWT hawawezi kuitisha mgomo uanze baada ya kutoa notice serikalini ya saa 48, tena unatoa notice ijumaa saa 7 si upumbavu huo? ina maana serikali inafanya kazi kufungua ofisi jumamosi na jumapili au?
Ninanachokisema hapa ni kuwa viongozi wa CWT hawana dhamira ya dhati kuwakomboa walimu...wanaitisha migomo ya kishamba kama hii ili serikali ikizuia waseme eti tunaonewa...huo ni ujinga uliopitiliza.
kama kweli wapo stable kwanini wasingeitisha mgomo katikati ya mihula na wanasubiri shule zifunge ndio wajidai kuhamasisha migomo...huo ni udhaifu wa mukoba/CWT...! wanatumia pesa nyingi kwa kazi isiyo na tija? huo ni ujinga.
Ndio maana nasema wajinga ndio waliowao....walimu waaachane na usaanii huu wa Mukoba/CWT.