Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
tatizo waimu wetu waoga sn sijui ni mazingira yao ya kaz au sehem walizokulia. Hua hawana msimamo mwanzo mwisho.
tatizo ni vyeti vyao. Wanajua kuwa hawakuitendea haki Elimu wakati wakiwa shule.
tatizo waimu wetu waoga sn sijui ni mazingira yao ya kaz au sehem walizokulia. Hua hawana msimamo mwanzo mwisho.
Wewe jamaa upo nchi gani,watu wana maasira wewe unaleta utani unataka muendelee kutawala tanzania kisultani kwa kusomesha watoto wenu nje sisi watoto wetu wabaki bila elimu,ikifika ajira mnaajiri majina yaleyale kisa wamesoma nje ya nchi,tumechoka kutawaliwa tunataka kujitawala hivyo walimu nao wasikilizwe watusomeshee watoto wetu,kwanza nawashauri walimu wagomee kusimamia sensa pia
HEBU TIZAMA TOFAUTI HII YA KUTISHA YA VIWANGO VYA MISHAHARA KWA WATUMISHI WA UMMA WA TZ! (Ajira mpya cheti)
Mwl 244,400/= Afya 472,000/= Kilimo/mifugo 959,400/= Sheria 630,000/=
Diploma mwl 325,700/= Afya 682,000/= KLM/MFG 1,133,600/= sheria 871,500/=
degree mwl 469,200/= Afya 802,200/= Klm/MFG 1,354,000/= Sheria 1,166,000/= Je upo tayari kuvumilia kunyanyaswa hivo katika utumishi wa umma wa taifa moja lenye soko la bidhaa lililo na mfumuko wa bei wa kutisha? Ungana na Cwt kudai nyongeza ya mishahara 100%, Teaching allowance hardship allowance. Wape sms hii walimu 20 tu! Mshikamano daima.
Wewe jamaa upo nchi gani,watu wana maasira wewe unaleta utani unataka muendelee kutawala tanzania kisultani kwa kusomesha watoto wenu nje sisi watoto wetu wabaki bila elimu,ikifika ajira mnaajiri majina yaleyale kisa wamesoma nje ya nchi,tumechoka kutawaliwa tunataka kujitawala hivyo walimu nao wasikilizwe watusomeshee watoto wetu,kwanza nawashauri walimu wagomee kusimamia sensa pia
Kyumanyna zao tht range?**** them
Kyumanyna zao tht range?**** them
Tatizo ni kwamba ukigoma peke yako, utapoteza kazi wewe peke yako. Cha mhimu, kama tunasambaza hizo message basi mojawapo ya nia ya hizo message iwe ni kumwondoa Mkoba na katibu wake. Hawa jamaa ni waganga njaa tu, hawana la maana. Kama Mkoba yeye tayari ana maisha mazuri kabisa, matatizo ya walimu wala hayamgusi. Mojawapo ya mikakati iwe pia kumwondoa Mkoba na kumwoka somebody ambaye atakuwa serious.mkuu sikiliza nikwambaie wengi wa waalim ambao wameshika nafasi za uongozi huko ct ni wa shule za msingi na hawa wana experience ya miaka kama 20 au 15 hivi. waalim hawa ni wake wa wakurugenzi, makatibu wakuu mameneja wa mashirika ya umma so wako na kuwasilikiza waume zao zaid. hawa wakitoka kwenye vikao huwa wanakwenda kuwaambia na waume zao wanakwenda kuyapresent hivyo tunakuja kuwa defeated baadae.
pia kuna kundi la waalim wa primary ambao ni waoaga na hasa ikitanguliwa na elim yao, matokeo yake ni kukwamisha kila kitu. baadhi ya waalim pia huwa wamefika kwa kuwa waalim so to them wanaresist kila kitu. wanhofia kukosa unga wa watoto.
but kuna kundi la vijana ambao wanajivunia elimu zao katika kiwango cha elim ya juu na hawa wako tayari kwa lolote but ni wachache sana uilinganisha na makundi mengine. so po ndipo penye tatizo but mm natangaza nia wazi ya kugoma hadi kieleweke juu ya waalim jamani hata teching allowance hatuna wala overtime lol!
Mimi nilishafanya kazi ya ualimu kabla ya kubadili kazi, hakuna mtu msaliti kama mwalimu hasa wazee ambao wanakaribia kustaafu. Adui wa mwalimu ni =mwalimu (personality yake)+kiwango cha mshahara+muda wa kazini.hawana kitu hawa wakitwa kwenye kikao cha majadiliano na kupewa sitting allowance zao inakuwa basi kuna badhi wanaamini kuwa CWT ni tawi/jumuhiya ya chama
Wewe jamaa upo nchi gani,watu wana maasira wewe unaleta utani unataka muendelee kutawala tanzania kisultani kwa kusomesha watoto wenu nje sisi watoto wetu wabaki bila elimu,ikifika ajira mnaajiri majina yaleyale kisa wamesoma nje ya nchi,tumechoka kutawaliwa tunataka kujitawala hivyo walimu nao wasikilizwe watusomeshee watoto wetu,kwanza nawashauri walimu wagomee kusimamia sensa pia
mkuu umesema kweli kabisa viongoz wa cwt ndio wanaotuangusha sisi waalim but hata wao sasa hivi tutawatoa na tutadai haki yetu hadi kieleweke
nimefuatilia sana pot zako unawaponda sana walimu, wamekukosea nini mkuu?weee usiwaponze wenzio hizo fulana ndio wanategemea mipalo,na hivyo vibegi vya watoto wao kwendea shule
ajira iliyo wazi bila rushwa ni ualimu ndiyo maana wengi wanajiunga nao maana huko kwengine iliyojaa ni rushwa tu na bila mpiga debe kazi haupewi hivyo watoto wawakulima ndiyo walimu wa nchi hii wa wenye nach huko kwingine.....wewe huwajui walimu wa Tz,yani ni vilaza kupita maelezo,maadili hamna,heshima0.0000%,kumendea vident vyake 100%...mwalimu anafundisha form4 hesabu hajui simultaneous equation juzi kaja kunfata nimfundishe akawafundishe vilaza wenzie wa shule ya kata anayofundisha,mi nlitaka wanaotaka kusomea ualimu wawe na div1,2,3 kuliko hawa waliofeli
Lukoko na mimi hii ndio ilikuwa nia yangu ya dhati kabisa. naona umefika mahali tunahitaji mabadilikoTatizo ni kwamba ukigoma peke yako, utapoteza kazi wewe peke yako. Cha mhimu, kama tunasambaza hizo message basi mojawapo ya nia ya hizo message iwe ni kumwondoa Mkoba na katibu wake. Hawa jamaa ni waganga njaa tu, hawana la maana. Kama Mkoba yeye tayari ana maisha mazuri kabisa, matatizo ya walimu wala hayamgusi. Mojawapo ya mikakati iwe pia kumwondoa Mkoba na kumwoka somebody ambaye atakuwa serious.