- Thread starter
- #21
CWT bana, watatishia mgomo na walimu kupata mzuka wa mgomo kumbe lengo lao mwishoni serikali ije iwahonge wasitishe mgomo.....Chama cha kingese sana hiki.
kwasasa kunapoelekea lazima kitu kitaeleweka kwani idadi ya wanazuoni wanaoingia kwenye kazi ya ualimu ni wengi na hakuna wenye wito hivyo mwendo mdundo na chama hiki lazima kivunjike kwani kama walimu wakikubaliana wanaweza kuanzisha chama kingine cha walimu kwa mfano walimu wa sekondari wanaweza kuanzisha chakwao na wa chekechea na wa msingi na kila kimoja harakati zikaendelea mpaka kieleweke