Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
Mimi Magulumagu.....
Sina post ya maana kwa sasa, je nimefulia, sina sera, ni mpenzi wa JF how usiniulize...Siipendi CCM kivipi usitake nitapike....Nawachukia rais wetu Kikwete maana muongo na waziri mkuu wake...Nchi yangu nilikuwa naipenda kabla haijauzwa, kwa sasa kila mwenye nacho anajimilikisha anavyotaka...
Hehehe kama huna la kuandika sorry hapa si pake...niko vacation usiniulize wapi maana hata rais wetu husafiri kila wiki...
Sina post ya maana kwa sasa, je nimefulia, sina sera, ni mpenzi wa JF how usiniulize...Siipendi CCM kivipi usitake nitapike....Nawachukia rais wetu Kikwete maana muongo na waziri mkuu wake...Nchi yangu nilikuwa naipenda kabla haijauzwa, kwa sasa kila mwenye nacho anajimilikisha anavyotaka...
Hehehe kama huna la kuandika sorry hapa si pake...niko vacation usiniulize wapi maana hata rais wetu husafiri kila wiki...