Wana Jf, Nilipokea kwa masikitiko makubwa habari ya kifo cha Sheikh Gorogosi. Ufahamu wangu unanishawishi niamini kuwa alikuwa mtu muhimu ktk BAKWATA ingawa sifahamu kiwango chake cha elimu. Natamani kufahamu CV ya huyu ndugu yetu. Mwenye info naomba aimwage hapa jamvini.