CV ya Hilary Ngonyani(Profesor Maji Marefu), Mbunge wa Korogwe Vijijini

Jamani eee! Naomba tuache ubaguzi kwani kule bungeni magamba wana kazi gani zaidi ya ndioo!
 
Hamna 1976 ilikuwa darasa la saba. Sijui alichelewa wapi kusoma!
Fikiri kazaliwa 1956 na kaanza shule 1970! Mie nashangaa kumbe alisoma MEMKWA! Yaani alianza la kwanza akiwa 14!
Hao ndio CCM ambao wanadharau mtu aliyemaliza form 6!
 
Nakumbuka niklikuwa darasa la tatu mwaka 1995 katika shule ya msingi matwiga iliopo mkoani mbeya. Prof maji marefu alikuja kama mwanamazingaombwe na wanafunzi tulichanga sh 5 kwa kila mwanafunzi ili kuingia kutazama mazingaombwe hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa ufundi hapo shuleni.
Yaliyojiri siku hiyo ni kuwa maji marefu alimwita dada mmoja aitwae joyce mtoto wa mwalimu meena na kumchinja kwa kutenganisha viungo vyote vya mwili kwa maana ya mikono, shingo na miguu na baadaye akatamka maneno flani ya kimaziangaombwe kwa lengo la kuunganisha viungo hivyo lakin ilikuwa ngumu kwake kwani kuna mwanafunzi ambaye wakati huo alikuwa ni mjanja kidogo alikuwa anaitwa majuto na sasa ni askari magereza kiwila mbeya aligeuzia viatu yaani cha kushoto akavaa kulia na cha kulia vivyo hivyo.
Wakati akiendekea kuunganisha viungo vikagoma na aliamua kutukagua wanafunzi wote ndani ya ukumbi huo na kumkamata mwanafunzi huyo na kumtoa nje ndipo akaendelea kuunganisha viungo vya mwili wa yule dada na kufanikiwa.
Lakini cha ajabu yule dada mpaka leo ana ukichaa flani na anaishi pale mbeya mjini na maji mareiu analijua hlo.
Ndipo nikaja kushangaa kuwa eti kawa mbunge, na nikaja kukumbuka alichokifanya cku hizo. Ni wazi kuwa kama alipata tabu kuunganisha mwili wa dada yule je jimbon kwake itakuwaje.
 
Matwiga karibu isangawana wilayani chunya?? nakumbuka mwanazingaombwe alikuja pia Mamba A[kijiji wilayani chunya] miaka hiyo akampasua mtu na kumwaga utumbo nje,baadae kaurudishia,but sina hakika kama ni maji marefu!!
 
Dah the guy is lucky!!!! Hivi bado anaendelea na uganga wa kienyeji?

Huyu jamaa siyo mganga wala nini, ila ni dalali wa uganga. Yaani mtu akiwa na shida anaenda kwake halafu yeye ndo anapanga gharama kubwa halafu ramli/dawa inatafutwa kwa mganga mwingine. Na wakenya wengi wamelizwa sana na huyu jamaa.

Na shule ya sekondari Kwamndolwa ipo kwenye kijiji chake na ndiyo imekuwa ya tatu toka mwisho mwaka jana, mwanafunzi mmoja alipata div IV, waliobaki wote 0.
 
Hao wenye PhD na Masters wanafanya kipi cha maana bungeni??????


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD

Ni kweli mkuu, humu JF watu wanaponda kwa kufuata mkumbo tu, zinazowasumbua ni kutaka sifa za kijinga!!!
 
[h=2]MEMBER OF PARLIAMENT CV[/h]
GENERAL
SalutationHonourableMember picture
1738.jpg
First Name:Stephen
Middle Name:Hilary
Last Name:Ngonyani
Member Type:Constituency Member
Constituent:Korogwe Vijijini
Political Party:CCM
Office Location:P.O. Box 60, Korogwe, Tanga
Office Phone:+255 784 459090/+255 712 006666
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:sngonyani@parliament.go.tz
Member Status:Current Member
Date of Birth25 May 1956
EDUCATION
School Name/LocationCourse/Degree/AwardStart DateEnd DateLevel
Kwamndolwa Primary SchoolPrimary Education19701976PRIMARY
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/LocationPositionFromTo
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember of NEC2008
Chama Cha Mapinduzi, CCMRegional Economic Secretary2008
Chama Cha Mapinduzi, CCMEconomic Secretary, Korogwe rural2007
Hamna kitu,dah!Sijui alikuwa anawakilishaje wananchi wake.Nadhani mtu kama huyu anaweza kuwa Mbunge CCM tu.Hivi alikuwa Professor wa nini vile,vibuyu?Anyway R.I.P Prof..

Ila kweli nimeamini mganga hajitibu mwenyewe.
 
Huyu ni mhitimu wa ngumbalu (elimu ya watu wazima ya kusoma na kuandika): - azaliwe 1956, aanze shule ya msingi 1970??!!! Anastahiki kuitwa profesa
Ukikagua SIIVII za CCM hakuna aliye msafi,anyway acha wafu wazike wafu wao....
 
Back
Top Bottom