nkosikazi
JF-Expert Member
- Mar 11, 2010
- 361
- 336
CorrectWaziri ni "political post" na si "technical post" ninavyofahamu (I stand to be corrected)
Pale wizarani kuna PS, huyo ndo anapaswa kuwa mtaalamu. Waziri ni kisiasa zaidi, hata kama hana background ya wizara anayosimamia. Sasa kama huyu ana bahati ya kuwa "mwalimu" na background ya admin, anatosheleza.