CV ya Naibu Waziri wa Elimu Philip Mulugo: Je inatosheleza kusimamia majukumu aliyopewa?

Status
Not open for further replies.
Naomba na ile CV ya Shukran Kawambwa, nahs yenywe ndo funny zaid! Hongera JK kwa kufaulu kuingza siasa kwny sekta ya Elimu! Duh!
 
Wadau naomba tuiangalie CV ya huyu Naibu Waziri wa Elimu na Ufundi tuone kama ina kidhi majukumu mazito :

First Name: Philipo
Middle Name: Augustino
Last Name: Mulugo
Member Type: Constituency Member
Constituent: Songwe


EDUCATION
Rukwa Primary School, Chunga Primary Education 1982 1989 PRIMARY
Mbeya Secondary School O-Level Education 1990 1993 SECONDARY
Songea Boys' High School A-Level Education 1994 1996 HIGH SCHOOL
Open University of Tanzania BA (Economics Education ) 2002 2008 GRADUATE
CERTIFICATIONS

EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From Date To Date
The Parliament of Tanzania Member - Songwe Constituency 2010 2015
Southern Highland Secondary School School Managing Director 2008 2010
Southern Highland Secondary School Administrative & Personnel Officer 2005 2010
Southern Highland Secondary School Teacher 2000 2004
POLITICAL
Chama Cha Mapinduzi, CCM Member - National Executive Committee 2008
Chama Cha Mapinduzi, CCM Secretary General - Mbeya Region (Parents) 2008
Chama Cha Mapinduzi, CCM Member - Chunya District Political Committee 2007

kwa CV hii ndo maana anaacha kushughulikia mambo ya kisera ya wizara ya elimu anaenda kukagua hata shule za chekechea.
 
Kama ni suala la fani na elimu basi kwenye uwaziri vivuli ndiko kuna shida kubwa! Tukiangalia CV za mawaziri vivuli na wizara vivuli wanazoongoza itakuwa kila kitu ni kivuli tu. Uwaziri ni utendaji tu hauna uhusiano na elimu ama fani ya mtu. Watu wengi tunamkubali Magufuli kuwa ni mtendaji mzuri kwenye ujenzi wa barabara lakini Magufuli si mhandisi yeye ni mwanahesabu kemia lakini hata kwenye kitoweo alifanya vyema!
 
Mbona wapo ma professor wenye CV nzito ila bado wizara haziendi? Kwani kigezo ni nini hasa?
 
Yaani wanaomtetea Mulugo na CV yake wanafanana na mtu anayejaribu kubeba gunia la misumari. Nakubaliana na huyo aliyesema kuwa huyu bwana alifadhili safari za Riz1 wakati wa kutafuta wadhamini wa mgombea wa Uraisi wa baba yake, hivyo hiyo ni fadhila za kazi aliyofanya.

JK kwa kulipa fadhila hajambo

Lazima kuna kitu,sio bure asingeibuka vuuu from nowhere
 
mimi siwezi kuamini kama huyo jamaa ndio elimu yake hiyo'ndiyo maana hata lugha ya kiswahili bado inamsumbua'wakuu tuna safari ndefu
 
Wadau naomba tuiangalie CV ya huyu Naibu Waziri wa Elimu na Ufundi tuone kama ina kidhi majukumu mazito :

First Name: Philipo
Middle Name: Augustino
Last Name: Mulugo
Member Type: Constituency Member
Constituent: Songwe


EDUCATION
Rukwa Primary School, Chunga Primary Education 1982 1989 PRIMARY
Mbeya Secondary School O-Level Education 1990 1993 SECONDARY
Songea Boys' High School A-Level Education 1994 1996 HIGH SCHOOL
Open University of Tanzania BA (Economics Education ) 2002 2008 GRADUATE
CERTIFICATIONS

EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From Date To Date
The Parliament of Tanzania Member - Songwe Constituency 2010 2015
Southern Highland Secondary School School Managing Director 2008 2010
Southern Highland Secondary School Administrative & Personnel Officer 2005 2010
Southern Highland Secondary School Teacher 2000 2004
POLITICAL
Chama Cha Mapinduzi, CCM Member - National Executive Committee 2008
Chama Cha Mapinduzi, CCM Secretary General - Mbeya Region (Parents) 2008
Chama Cha Mapinduzi, CCM Member - Chunya District Political Committee 2007

ulitaka uchaguliwe wewe? Acha wivu wa kike
 
Naomba na ile CV ya Shukran Kawambwa, nahs yenywe ndo funny zaid! Hongera JK kwa kufaulu kuingza siasa kwny sekta ya Elimu! Duh!

Shukran? Umenoa. Ni Shukuru Kawambwa ... amekamilika academically (ila kwenye siasa/uongozi judge mwenyewe)!


First Name:
Dr. Shukuru

Middle Name:
Jumanne

Last Name:
Kawambwa


Surrey University - UK
PhD (Eng.)
1990
1993
PHD

Reading University - UK
MSc. (Eng.)
1983
1984
MASTERS DEGREE

University of Dar es Salaam
BSc. (Eng.)
1978
1982
GRADUATE

Tambaza Secondary School
O-Level Education
1971
1974
SECONDARY

Mazengo Secondary Education
A-Level Education
1975
1976
HIGH SCHOOL

Mwambao Primary School, Bagamoyo
Primary Education
1964
1970
PRIMARY
 
Waziri ni "political post" na si "technical post" ninavyofahamu (I stand to be corrected)

Pale wizarani kuna PS, huyo ndo anapaswa kuwa mtaalamu. Waziri ni kisiasa zaidi, hata kama hana background ya wizara anayosimamia. Sasa kama huyu ana bahati ya kuwa "mwalimu" na background ya admin, anatosheleza.

though uliyosema hapo juu ndio dhana inayoeleweka kwa wengi.........lakini napenda niku-caution kuwa hata uteuzi wa ma-PS haufuati taaluma ya mtu na wizara husika........PS kwa system za kwetu ni simply Chief Administrator/Chief Accounting Officer......na wala SIO Chief Technical Officer.............
..............uendekezaji wa mambo haya ndio unasababisha when wanasiasa wakipewa maswali magumu yaliyoshiba kwa hoja wao hutoa majibu yasiyo na mshiko..........na hiyo mentality hapo juu imewafanya wanasiasa kutafuna rasilimali za nchi eti kwa kisingizio wao sio watendaji bali ni wanasiasa ...........Ilani and/or Sera za vyama its another issue......... inapokuja kwenye suala la utekelezaji....and thats where you find good politicians.............

Hii mentality ya ........eti......... "Political Posts"....katika nyanja zinazohitaji attendance ya serious and comptent technical people.......inatu-COST sana.......na itaendelea kutu-cost...........kwani wanasiasa hawalioni/hawalijui/wanajifanya hawajui tatizo...........

........system ya uongozi wa serikali yetu inahitaji overhaul..........watu serikalini wanaendeleza business as usual.....huku wakitegemea matokeo tofauti....we are doomed to fail miserably.......damn!
 
Kwa kuweka kumbukumbu sawa huyu jamaa yenu (Mulugo) akiwa administrator shule yake iliwahi kufungiwa kuwa kituo cha mitihani na NECTA kwa miaka mitatu baada ya kupatikana na hatia ya kuibia wanafunzi wake mitihani.
 
Kwa kuweka kumbukumbu sawa huyu jamaa yenu (Mulugo) akiwa administrator shule yake iliwahi kufungiwa kuwa kituo cha mitihani na NECTA kwa miaka mitatu baada ya kupatikana na hatia ya kuibia wanafunzi wake mitihani.

wow!!..........duuuh aisee!
 
Ndugu yangu wee! Kuna tetesi kuwa alighalamia safari zote za mkoa wa Mbeya wakati Rizi- One alipomkampenia Mkulu kurudi ikulu kwa mara ya pili. Kama tetesi hizi ni za kweli, basi mkono wa Rizi- One umo katika uteuzi wa Mh Mulugo!
kama ni kwel bac nchi sasa itakombolewa soon maana kila kukiacha siri zote zinbnikwa peupe. Na bado hii ni adhabu ya hapa duniani bado yenyewe.
 
Mbona ana BA wandugu?Au alitakiwa awe na elimu kiasi gani?

Wadau naomba mwwnye connection na OUT atuthibiitishie kama kweli Mulugo ni mmoja wa wahitimu wa mwaka 2008. Isije ikawa amejiandikia tu kuwa ana B A
 
Ni kweli kwamba uwaziri ni political post na haina sababu kwa waziri kuwa mtaalamu wa wizara husika hilo hatuna tatizo nalo! tatizo letu ni hizi elimu za kuunga unga, kwa mfano huyu mheshimiwa aliwahi kuwa mwalimu sijui kasomea wapi au kila anaweza kuwa mwalimu? baadae akawa administration officer (hivi Udsm na Mzumbe huwa hawana digirii kabisa za masuala haya). Mashaka yetu hapa ni mlolongo wa kazi, uzoefu na uelewa wa mtu huyu, ukilinganisha na watu wengine ndani ya chama na bunge kwa ujumla.
 
kuna habari niliipata kuwa huyo jamaa alitaga form six na w
hii habari ni ya ukweli maana aliyesema ni mtu aliyesoma naye a-level ndo maana cv haina muunganiko mzuri
 
Afadhali huyo mwenye CV nyepesi angalau tunamsikia akitoa pumba kwa uwezo wake mdogo alio nao. hao wenye CV nene wamefanya nini?. mnyongeni lakini haki mpeni.
 
Unarusha mawe wakati upo kwenye nyumba ya vioo! Kama ulianza darasa la kwanza 1982 unatakiwa kumaliza darasa la saba mwaka gani?
........mkuu hesabu hii haihitaji hata kutumia magazijuto, anyway, alitakiwa amalize primaty education mwaka 1988.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom