CV ya KOVA!!

thubutuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu hakuna kitu kama hii jombaa
eti muadilifu hawa kuna siku kitanuka tuu
Kova ni kamanda madhubuti kabisa anaaminika na hawezi kufanya kazi kwa matakwa ya watu bali sheria ,kanuni na taratibu za kazi ndio muongozo wake. Kamanda endelea kwani kamamda bora na mtendaji huwa hapendwi na ndio maana tunasemaga kamanda mnoko na kamanda poa usikubali kuitwa kamanda poa bora uitwe kamanda mnoko lakini unafuata sheria, kanuni na taratibu za kazi usiwe na upendeleo wala huruma kwa watu.
 
kovu ni nani tena?

Ni mzee mmoja aliyezaliwa miaka 50 iliyopita katika wilaya ya KONDOA mkoani DODOMA Nchini TANGANYIKA, kabila lake ni MRANGI. samahani kumbe mnataka CV yake mm nimekosea nikaanza kuelezea historia yake!
 
nimeona tarehe ya kujiunga JF mtetezi wa Kova ni 30 june 2012. kama upo sawa utaelewa .
 
Kova ni kamanda madhubuti kabisa anaaminika na hawezi kufanya kazi kwa matakwa ya watu bali sheria ,kanuni na taratibu za kazi ndio muongozo wake. Kamanda endelea kwani kamamda bora na mtendaji huwa hapendwi na ndio maana tunasemaga kamanda mnoko na kamanda poa usikubali kuitwa kamanda poa bora uitwe kamanda mnoko lakini unafuata sheria, kanuni na taratibu za kazi usiwe na upendeleo wala huruma kwa watu.

nafikiri una ajenda ya siri Kova huwa tunamsikiliza sana na kauli zake zisizo sawa,kumbuka kauli aliyotoa kwenye TV walivyokamatwa Jerry Muro na wenzake yale maneno yake ya kuwahukumu yamefika wapi?ningekuwa mimi ningemshitaki,same to this issue ikijulikana jamaa hakuhusika atatwmbiaje? nani aendelee kumuamini na kauli zake zisizo na mashiko? huyu ni Policcm katika utendaji wake wa kazi.
 
kova form six kaionea wapi huyu? kama kaenda sana ni gumbalu , nahisi alisoma MEMMKWA, Elimu ya Msingi kwa walioikosa

Wewe usidharau ngumbalu, kuna mtu ninamfahamu amesoma ngumbalu na sasa ni dr wa phd na ni kijana mdogo sana. Elimu popote ndugu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom