kijana naona una hamu ya kutembelea mabwepande.Kama kuna mtu mwenye CV ya Kamanda KOVU tudondoshee hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kijana naona una hamu ya kutembelea mabwepande.Kama kuna mtu mwenye CV ya Kamanda KOVU tudondoshee hapa.
Kova ni kamanda madhubuti kabisa anaaminika na hawezi kufanya kazi kwa matakwa ya watu bali sheria ,kanuni na taratibu za kazi ndio muongozo wake. Kamanda endelea kwani kamamda bora na mtendaji huwa hapendwi na ndio maana tunasemaga kamanda mnoko na kamanda poa usikubali kuitwa kamanda poa bora uitwe kamanda mnoko lakini unafuata sheria, kanuni na taratibu za kazi usiwe na upendeleo wala huruma kwa watu.
Kama kasoma hadi form vi,natoa vocha ya buku 10.
kovu ni nani tena?
Kova ni kamanda madhubuti kabisa anaaminika na hawezi kufanya kazi kwa matakwa ya watu bali sheria ,kanuni na taratibu za kazi ndio muongozo wake. Kamanda endelea kwani kamamda bora na mtendaji huwa hapendwi na ndio maana tunasemaga kamanda mnoko na kamanda poa usikubali kuitwa kamanda poa bora uitwe kamanda mnoko lakini unafuata sheria, kanuni na taratibu za kazi usiwe na upendeleo wala huruma kwa watu.
kova form six kaionea wapi huyu? kama kaenda sana ni gumbalu , nahisi alisoma MEMMKWA, Elimu ya Msingi kwa walioikosa