Kova ni kamanda madhubuti kabisa anaaminika na hawezi kufanya kazi kwa matakwa ya watu bali sheria ,kanuni na taratibu za kazi ndio muongozo wake. Kamanda endelea kwani kamamda bora na mtendaji huwa hapendwi na ndio maana tunasemaga kamanda mnoko na kamanda poa usikubali kuitwa kamanda poa bora uitwe kamanda mnoko lakini unafuata sheria, kanuni na taratibu za kazi usiwe na upendeleo wala huruma kwa watu.
Mnamuonea bure..sio kosa lake ni system inamlazimisha....
Hata kama ana elimu itakuwa ni elimu cheti na siyo elimu maarifa
GANGSTAR upo kwenye kundi la watekaji wa Kenya waliotajwa na Kova nini?
hivi huyu kova twaweza sema ni DHAIFU?
Kama kuna mtu mwenye CV ya Kamanda KOVU tudondoshee hapa.
Yeye haoni ? Kama hawezi kudadavua weredi wake utakuwa wa chini sanaMnamuonea bure..sio kosa lake ni system inamlazimisha....