Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Enzi hizo anaanza kazi, utangazaji ilikuwa kama kuuza magazeti hata kama hauna elimu unapata
Acheni kashfa ninyi, na udaku wenu, nimegundua mnatumwa kumchafua nkamia na Zitto, kwa kulipwa vijisent, sasa next time anayekutumeni nimeongea naye akasema atawapa hela mumuvulie Bikini.
Hao wenye elimu wamefanya nini?
Juma Nkamia ni kichwa maji tu.
CV mbaya.
Huyu jamaa ni Msandawi (Msandawe) anavyoichukia Jamii Forums hapa kaumbukaYumo humu atakuja tu atupe a complete CV yake.
Huyu jamaa ni Msandawi (Msandawe) anavyoichukia Jamii Forums hapa kaumbuka
haiwezekani uupate Uwazuri halafu Elimu ya A-Level usome Sekondari 3
Mwacheni aungue ajibu tumrushie mabomu mengiine ya kumiliki mali za Symbion bila ya kuzinunua hapo Kizota
Jamaa alisoma A- Level Miaka mi 3 ????
Parliament of Tanzania
Same Secondary School A-Level Education 1989 1990 HIGH SCHOOL Sengerema High School A-Level Education 1991 1991 HIGH SCHOOL Mzumbe High School A-Level Education 1991 1992 HIGH SCHOOL
Jamaa alisoma A- Level Miaka mi 3 ????
Parliament of Tanzania
Same Secondary School A-Level Education 1989 1990 HIGH SCHOOL Sengerema High School A-Level Education 1991 1991 HIGH SCHOOL Mzumbe High School A-Level Education 1991 1992 HIGH SCHOOL
ALIWAHI KUAJIRIWA na BBC KAMA MTANGAZAJI KABAMBE SANA ! KWI! KWI! KWIII!!!
Sawa kabisa! na ukiona nyani mjini , ujue ni wa kufuga huyo!Ukimwona kobe juu ya mti, fahamu kuwa amepandishwa na ipo siku atashushwa.