Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,217
Hivyo kama hauko kwenye I-III ina maana wewe uko chini ya kiwango!
Katiba ya Tanzania inataka mbunge awe na elimu gani?
Hivyo kama hauko kwenye I-III ina maana wewe uko chini ya kiwango!
Katika wakati woteMBOWE NI MWANASIASA MAKINI SANA
Katiba ya Tanzania inataka mbunge awe na elimu gani?
Unamfahamu Bill Gates?Kuna intelligence na ndio maana Makampuni yote Duniani hata hapa nyumbani kabla ya kupata kuna IQ test
katiba ya chadema inasemaje kuhusu kiwango cha elimu cha mwenyekiti wao? na je katiba ya CCM inasemaje kuhusu kiwango cha elimu cha mwenyekiti wao? Je....Unadhani Kuwa na PhD holder asiyejua hata kuongea Kiswahili fasaha kuwa mwenyekiti ni ishu? unajua maana Ya IQ?Siyo swala la Katiba linataka nini kwani hakuna mahali niliposema kwamba chadema wamevunja Katiba ya nchi kukubali kuongozwa na Kiongozi asiye na Elimu, bali nimeshangazwa tu na hiyo hali kwani ni mtu mwenye uwezo mdogo ni ngumu kuleta mafanikio kwenye Chama!
Halafu pia kwa wewe mafanikio ya chadema yanakusaidiaje wewe ?mtu mwenye uwezo mdogo ni ngumu kuleta mafanikio kwenye Chama!
Mkuu mimi nina swali...hivi mbowe si aliwai kugombea uraisi...na sheria zinasema mgombea urasi lazima awe na elimu kuanzia degree ya chuo chochote kinachotambulika na serikal...iweje leo useme elimu yake mwisho kidato cha nne.? Ebu nipe majib labda mimi sijuiHii inawezekana vipi? Mbowe hata high school certificate ya Kitanzania hana yaani ile standard kabisa kwamba unafaulu kidato cha nne mwisho daraja la III ndiyo upate nafasi ya kwenda high school, kama anayo basi itakuwa ya kununua lkn siyo ile standard ya kwetu, ndiyop aweze kushika akili za wanachadema wote tena baadhi nasikia wa PhD, hili linawezekana vipi?
Ni kweli inasikitisha lakini profesa nguli aliyeaminiwa alikisaliti chama chake sio kwa vipande thelathini bali kipande kimoja tu cha pesa! Huyu (sijui la saba) ndiye ameshikiria upinzani kwa zaidi ya muongo mmoja na hakuna mtu mwingine aliyekwisha kujitokeza na kutambua uwepo wa vyama vingi, lakini kwa zaidi ya huo muongo ameweza kuyakamata majiji makuu ya Tanzania. Tunapaswa kuwa makini na elimu za wale wanaopasua vichwa badala ya miguu!
YAKO IMEKAMILIKA? WEKA TUIONE...haioneshi taarifa za kitaaruma,shule alizosoma.Na hii ipo kwenye tovuti ya bunge,wamesahau kuweka au taarifa zake hazijulikani?
CV ya freeman mbowe
Member of Parliament CV
GENERAL
Salutation Honourable Member picture
First Name: Freeman
Middle Name: Aikaeli
Last Name: Mbowe
Member Type: Constituency Member
Constituent: Hai
Political Party: CHADEMA
Office Location: P.O. Box 3070, Moshi
Office Phone:
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: fmbowe@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth
EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Secondary School Secondary Education - - HIGH SCHOOL
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From Date To Date
Bank of Tanzania Bank Officer
mkuu sio ugomvi nataka kujua kama mwenyekiti wangu ameonewa kutowekwa kwa taarifa zake kwenye CVYAKO IMEKAMILIKA? WEKA TUIONE
watakuwa walisahau kuwekaHao wanao weka taarifa za wabunge wangejibu hili swali, ila nasikia alisoma kidato cha tano na sita Ihungo, kama hakusoma o level basi hiyo shule ihojiwe
MTETEZI WA WANYONGE!!!!!!!!!!!!!!!!! , LAKINI SI YEYE MWENYEWE ALIANDIKA HIVYO WW UNATAKA AANDIKE NINImkuu sio ugomvi nataka kujua kama mwenyekiti wangu ameonewa kutowekwa kwa taarifa zake kwenye CV
aandike japo shule alizosomaMTETEZI WA WANYONGE!!!!!!!!!!!!!!!!! , LAKINI SI YEYE MWENYEWE ALIANDIKA HIVYO WW UNATAKA AANDIKE NINI